Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
]Baba hapa nimekuelewa vizuri kbs,
Lakin huoni km huyu jamaa amekurupuka?
Kwann asingekuwa mvumilivu kumsoma huyu binti na kujua km kipato chake anakichanganya na mapnz au la?
Ukizingatia kabla ya kujua kipato cha binti,jamaa alikua anampenda sana huyu binti,na binti hakuwahi kujionyesha km ana kipato kikubwa!
Na ndio maana hata alipofika kwa binti na kuona thaman za pale alishindwa kuamini km ni uwezo wa binti anayemjua mpaka akaomba slip ya mshahara ili hakikishe anachokiona!
Hapa baba unasemaje?
Mwanangu mpendwa, narudi pale pale kwenye maoni yangu ya kwanza, angalia page ya 2, kwamba inategemea huyu bwana aliaminishwa nini, mtu aliyeaminishwa kwamba ni haramu mwanamke kumiliki mali, hatumii mantiki katika kutafuta suluhu ya jambo hilo........... Ego ndiyo itakayomuongoza.