Kwa wale wasiofahamu. Huyu Mponda siyo medical doctor.
Kukimbilia kujiuzulu siyo suluhu sana ya tatizo. Kwasababu kama ni hivyo, watu wanaweza kuharibu mambo kwa maksudi wakitegemea watajiuzulu na kukaa pembeni."
Alieleza kwamba hadi jana jioni, hakuwa na uamuzi wowote kuhusu hilo na alikuwa akiendelea na majukumu yake kama kawaida huku akisisitiza;
"Unajua mtu anaweza kufikiria zaidi kujiuzulu kama atakuwa amefanya au amesababisha kitu na yeye mwenyewe nafsi yake ikathibitisha hilo. "
Alisema binafsi, ameguswa na mgomo huo wa madaktari ambao umeathiri huduma za afya nchini, huku baadhi ya watu wakipata madhara zaidi ya maradhi.
Lakini, alipoulizwa kwamba kutokana na hali hiyo, haoni kwamba alipaswa kuwajibika kwa kujiuzulu kama sehemu ya kuumizwa na madhara yaliyowapata Watanzania kutokana na Wizara yake alijibu; "Naomba ni reserve(nihifadhi) kauli yangu katika hilo. Lakini, nani wanataka nijiuzulu, ni wewe (mwandishi) au nani? Maana sijasikia hilo unalosema. Nikisikia nitaamua."
Alifafanua kwamba kuwajibika wakati mwingine baadhi ya watu wamekuwa wakitafsiri dhana hiyo tofauti .
"Kwa mfano, mimi nimeguswa sana na mgomo wa madaktari, nawapenda sana Watanzania, sasa hapo kuna tofauti kidogo."
Dk Mponda alisema ndiyo maana alikuwa akifanya jitihada zote kuhakikisha anakutana na madaktari hao kuhakikisha mgomo huo unamalizika, lakini bahati mbaya juhudi hizo hazikufanikiwa haraka.
"Kwakweli nimeguswa sana na mgomo huo wa madaktari, ndiyo maana nimekuwa nikifanya kila jitihada kuhakikisha unamalizika, lakini bahati mbaya hilo halikutokea. Kwa hiyo, nimeumia sana," alisisitiza Dk Mponda, baada ya kuulizwa tena kwamba kama ameguswa ni kwanini asiwabijike kwa kujiuzulu hata kama hakutenda kosa.
Alisema anatambua umuhimu na dhana ya uwajibikaji, lakini akasisitiza kuwa "Siwezi kusema zaidi kwa sasa. Wakati ukifika nitaweza kuzungumza."
Ni kweli Dkt. Mponda sio Medical Dkt. yeye ni fundi michundo ya kutengeneza majembe, matololi kule Mbeya kwa kile kilichokuwa kiwanda cha Zana zaKILIMO au ZZK kiwanda ambacho alichangia kwa kiasi kikubwa kufilisika kwake na kufa kabisa na huu udhaifu wake wa kushauri viongozi wake vibaya ameendelea na kumdanganya Pinda hadi kumpandisha hasira ya uwapa ultimutum madaktari. MPONDA TAFADHALI JIUZULU au ndio kusema kuwa huna uchungu na wananchi wako waliokupigia kura. Inabidi uwajibike Mzee usione aibu
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Dr. Hadji | |
Middle Name: | Hussein | |
Last Name: | Mponda | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Ulanga Magharibi | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | P.O. Box 9083, Dar Es Salaam | |
Office Phone: | +255 783 003 635 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | ||
Member Status: | ||
Date of Birth | |
EDUCATIONS | ||||
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Manda Chini Primary School | Primary Education | 1967 | 1970 | PRIMARY |
Nawenge Primary School | Primary Education | 1971 | 1973 | PRIMARY |
Minaki Secondary School | O-Level Education | 1974 | 1977 | SECONDARY |
Tosamaganga Secondary School | A - Level Education | 1978 | 1980 | HIGH SCHOOL |
Mzumbe University | Business Management | 1984 | 1987 | ADV DIPLOMA |
London Univeristy | Public Health | 2003 | 2004 | MASTERS DEGREE |
Mzumbe University | Material Management | - | GRADUATE | |
London Univeristy | Public Health | 2007 | 2010 | PHD |
CERTIFICATIONS | |||
Certification Name or Type | Certification No. | Issued | Expires |
No items on list | |||
EMPLOYMENT HISTORY | |||
Company Name | Position | From Date | To Date |
The Parliament of Tanzania | Member - Ulanga West Constituency | 2010 | 2015 |
Ministry of Health and Social Welfare | Minister | 2010 | Todate |
Ifakata Health Institute | Research Scientist | 1996 | 2010 |
National Development Corporation | Commercial Manager | 1989 | 1996 |
National Development Corporation | Commercial Officer | 1983 | 1989 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Youth Commander | 2009 | |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Member of Political Committee | 2005 |
PUBLICATIONS | |
Description | Published Date |
Social Science and Medicine | 2003 |
BMC Public Health | 2009 |
SPECIAL SKILLS | |||
Skill Name or Description | Years Experience | Acquired Through | Skill Level |
No items on list | |||
RECOGNITIONS | ||||
Recognition Type | Recognition Date | Reason | Action Taken | Issued by |
No items on list | ||||
umepoteza credibility kwa kusema uongo. Angalieni kwenye profile lake kama unachosema ni ukweli. Dr. Mponda ni mtu wa medics.Ni kweli Dkt. Mponda sio Medical Dkt. yeye ni fundi michundo ya kutengeneza majembe, matololi kule Mbeya kwa kile kilichokuwa kiwanda cha Zana zaKILIMO au ZZK kiwanda ambacho alichangia kwa kiasi kikubwa kufilisika kwake na kufa kabisa na huu udhaifu wake wa kushauri viongozi wake vibaya ameendelea na kumdanganya Pinda hadi kumpandisha hasira ya uwapa ultimutum madaktari. MPONDA TAFADHALI JIUZULU au ndio kusema kuwa huna uchungu na wananchi wako waliokupigia kura. Inabidi uwajibike Mzee usione aibu
Kwa wale wasiofahamu. Huyu Mponda siyo medical doctor.
Network search ,,,
Eti 'ameguswa sana'!
CCM clowns circus is the best ever! Machozi ya mamba!
umepoteza credibility kwa kusema uongo. Angalieni kwenye profile lake kama unachosema ni ukweli. Dr. Mponda ni mtu wa medics.
Tumeshawahi kuwa na Medical Doctors pale kama kina Chiduo na Sarungi, mambo hayakubadilika; Tumewahi kuwa na wanasiasa pale kama Zhakia Meghji na wengineo, mambo hayakubadilika; matumaini yangu yalibakia kwa mtu mwenye uwezo wa public health management ambae kwa bahati nzuri au mbaya akaja kuwa Mponda; Napo mambo hayajabadilika. Tatizo ni nini? Tatizo ni mfumo wa wizara. Kumwondoa Katibu Mkuu na Mganga Mkuu ni mwanzo mzuri lakini muhimu zaidi ni kuiparangua wizara yote na kuifuma upya kivitengo, ki-dira, na pia allocation ya bajeti; Chini ya mfumo wa sasa, wanaoamua mahitaji ya afya ni nini, fedha kiasi gani zinahitajika, na fedha zitume vipi ni watu wa juu, sio wa huko chini kwenye hospitali za mikoa na wilaya ambako ndiko kuna mahitaji mengi zaidi ya afya, bali maamuzi hufanya huko huko juu wizarani, na ni huko wizarani na kwenye taasisi kama za rufaa na speciality hospitals ndiko 75% ya bajeti yote huishia huko na only 25% ndio inapelekwa hospitali za mikoa na wilaya na dispensaries combined; Bila ya kubadili haya, kumtoa Mponda na Naibu wake haitasaidia lolote;
Kukimbilia kujiuzulu siyo suluhu sana ya tatizo. Kwasababu kama ni hivyo, watu wanaweza kuharibu mambo kwa maksudi wakitegemea watajiuzulu na kukaa pembeni."
Alieleza kwamba hadi jana jioni, hakuwa na uamuzi wowote kuhusu hilo na alikuwa akiendelea na majukumu yake kama kawaida huku akisisitiza;
"Unajua mtu anaweza kufikiria zaidi kujiuzulu kama atakuwa amefanya au amesababisha kitu na yeye mwenyewe nafsi yake ikathibitisha hilo. "
Alisema binafsi, ameguswa na mgomo huo wa madaktari ambao umeathiri huduma za afya nchini, huku baadhi ya watu wakipata madhara zaidi ya maradhi.
Lakini, alipoulizwa kwamba kutokana na hali hiyo, haoni kwamba alipaswa kuwajibika kwa kujiuzulu kama sehemu ya kuumizwa na madhara yaliyowapata Watanzania kutokana na Wizara yake alijibu; "Naomba ni reserve(nihifadhi) kauli yangu katika hilo. Lakini, nani wanataka nijiuzulu, ni wewe (mwandishi) au nani? Maana sijasikia hilo unalosema. Nikisikia nitaamua."
Alifafanua kwamba kuwajibika wakati mwingine baadhi ya watu wamekuwa wakitafsiri dhana hiyo tofauti .
"Kwa mfano, mimi nimeguswa sana na mgomo wa madaktari, nawapenda sana Watanzania, sasa hapo kuna tofauti kidogo."
Dk Mponda alisema ndiyo maana alikuwa akifanya jitihada zote kuhakikisha anakutana na madaktari hao kuhakikisha mgomo huo unamalizika, lakini bahati mbaya juhudi hizo hazikufanikiwa haraka.
"Kwakweli nimeguswa sana na mgomo huo wa madaktari, ndiyo maana nimekuwa nikifanya kila jitihada kuhakikisha unamalizika, lakini bahati mbaya hilo halikutokea. Kwa hiyo, nimeumia sana," alisisitiza Dk Mponda, baada ya kuulizwa tena kwamba kama ameguswa ni kwanini asiwabijike kwa kujiuzulu hata kama hakutenda kosa.
Alisema anatambua umuhimu na dhana ya uwajibikaji, lakini akasisitiza kuwa "Siwezi kusema zaidi kwa sasa. Wakati ukifika nitaweza kuzungumza."