afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
Acha hizo!
mmmhh nilidhani umeenda kupima suti...
Acha hizo!
Hahahaha!Asante!Kumbe eeh!Haya potezea baba mchungaji asije akamaind!
Hehehe...hujagundua tu?Ye ndo anafunga!
Hahahaha!Anakunywa kama vile ni yake mwenyewe!!Alafu anataka tukimaliza sunday tuwe walimu hapo hapo ili asikose kutuona!hahahah lol ye ndo mtaalum wa hayo mambo...
lakini anamalizaga mvinyo kwanza kabla hata ya ibada haijaanza...
hapendi kuona wanae wa sundayschool wanaolewa.....
kinamuuma sana.. hahahah lol
anaogopa jinsi tunavyo kua haraka
hahahah lol ye ndo mtaalum wa hayo mambo...
lakini anamalizaga mvinyo kwanza kabla hata ya ibada haijaanza...
hapendi kuona wanae wa sundayschool wanaolewa.....
kinamuuma sana.. hahahah lol
anaogopa jinsi tunavyo kua haraka
Hahahaha!Anakunywa kama vile ni yake mwenyewe!!Alafu anataka tukimaliza sunday tuwe walimu hapo hapo ili asikose kutuona!
Ga mila lari king, be careful with Rev, kuna baadhi wanachinja kondoo wao
idoma ako...
Barageeri..
mmmhh huyu Rev wetu anakunywa na hata damu ya kondoo...
mali yake kafanyia kazi na ana enjoy ...
ewaaaaaa, kuna Rev mchungaji kweli na Rev anayerudia na kula kondoo wake, so watch out, ila leo Afrodenzi na hamu ww acha tu
sijui nini? ghafla tu i got excited, i want to do that thing, u know, help
ewaaaaaa, kuna Rev mchungaji kweli na Rev anayerudia na kula kondoo wake, so watch out, ila leo Afrodenzi na hamu ww acha tu
sijui nini? ghafla tu i got excited, i want to do that thing, u know, help
We Prezidaa acha majungu!!Hiyo yote ili umkamate AD!!!!
sasa lizzy ww tayari upo na Rev Masa, hata jina mmepeana, huoni sisi tulikusapoti, sasa ww vp hunisapoti nichukue mtoto wa ki iraqw kama mm?
i need u r help bibie, i am hot
mmmmhh huyu Rev wetu ni mtakatufu sana yaani..
mmhhh jamani mbona hivyo tena..
"callgirl" hujaona hiyo thread lol
i don't do sex phone, i need it to do, come bana
Tuma fungu la 10 kwa mchungaji
sasa lizzy ww tayari upo na Rev Masa, hata jina mmepeana, huoni sisi tulikusapoti, sasa ww vp hunisapoti nichukue mtoto wa ki iraqw kama mm?
i need u r help bibie, i am hot
Hapo mimi nasepa.......mkuu huelewi maana ya "callgirl"