Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Hahaha ibaki bwana ili tuwe tunatoa maupdate!Tukikorofishana kesi inakuja hapahapa...na maushauri pia tukihitaji!
Hahaha ibaki bwana ili tuwe tunatoa maupdate!Tukikorofishana kesi inakuja hapahapa...na maushauri pia tukihitaji!
Babu kua mpole bwana!Kwanza naweza kukugeuzia kibao ujue...ukaishia kulipa faini!
Mi sikatai kushindwa...ila nakuonea huruma kuingia kwenye mikono dhalimu ya mchungaji feki anayevaa msuli. Sijui unajua anatumia line gani ya simu? Muulize Fidel
Hahahaha!Babu sasa badala yakurekebisha unaharibu?Tukalishe chini utupe ushauri maana nikisema nikimbie ntakimbia wangapi?Mi sikatai kushindwa...ila nakuonea huruma kuingia kwenye mikono dhalimu ya mchungaji feki anayevaa msuli. Sijui unajua anatumia line gani ya simu? Muulize Fidel
Hahahahahah unaamua kuniuwa ! Lizzy funga masikio na macho.....
Hahahaha!Babu sasa badala yakurekebisha unaharibu?Tukalishe chini utupe ushauri maana nikisema nikimbie ntakimbia wangapi?
Hapa uchaguzi umeisha!
nimepata mpnz...ulitaka kuniunganishia nini?
Nimepata mpnz...ulitaka kuniunganishia nini?
haya bibie hongera sana ...
mie nilikuwa nakupigia campeni nyingine kipande hii
hahah lol
Nimeuliza tu baba!