Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,881
- 16,795
i like this type, i am sorryView attachment 19652
Kila mahali mbona!Ni kiasi chakuwatafuta tu mr Prezzida!
We nshakuona braza men sana!!!Maana unavyofagilia vigezo ulivyo navyo naogopa usinije ukanizidi nikapigwa bao la kisigino bure!!!Mi nataka saizi yangu sio zaidi yangu!!!
kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa jf..yani mambo yote yanaishia humu humu!vigezo:1.umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.elimu haijalishi...maadam kutype jf anaweza sihitaji cheti! 3.sura..umbo sijali! 4.kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!nawakilisha....!
Hahhahahahah....mchungaji kweli umeamua!!!!Unataka kupiga muhuri kabisa????
Lizzy umeona hicho kitu hapo nyuma lakini au? ebu iangalie closely, ukiona kitu kama hiyo anywhere, anytime ni PM, ila Maria Roza usimwambie
au asijue katu katu, itatokea noma, i will pay u Lizzy, nifichie siri yangu, Maria mkali
Usihof kulingana na vigezo vyako mi nimevifikia ila sijakuzid wala nini ila nilikuwa naonesha msisitizo kwamba nipo tayari kuanza maisha na wewe na sio kukuchezea,,thats why nikaweka vigezo mbele jins utakavyo wewe hapa hamna u brothermen yaaaaaaaan kazi tu.....come baby do not delay
Yani nikusaidie kuvunja ndoa?Mi staki...mwambie aende kwa mchina akarekebishe kama anavyotaka prezidaa!
Hahahaha!Babu we uliachia nafasi yako ghafla?Alafu ulikua unaongoza kwenye kura za maoni!
Hahahaha! UnaniFBI sasa mkuu?
Nilikwambia mapema umwombe Invisible afunge kabisa hii thread maana umesha mpata mzee nini tena ligi au ndo hivyo unawatamanisha akina Asprin na wenzake?