Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
zomba, umenikumbusha hadithi ya Biblia pale shetani (in the form of a serpent) alipokuja kwa Eva/Hawa na kumuuliza, "Eti Mungu amewakataza kulila tunda la mti huu!??"Mbunge kijana ambae anaonesha kuwa umaarufu na madaraka ya ubunge yamemlevya amefikia hatua ya kumuingia Kikwete binafsi kwa kumwita, kwa kejeli na dharau eti ni "dhaifu".
Kumbuka tu mtu anapotumia hilo neno, huwa anamaanisha kuwa anaujua ukweli wa alichokisema na anajuakiko sahihi, so it just remains to be a rhetorical question.
Thank you for acknowledging that.
Mchana mwema...
Last edited by a moderator: