nkyalomkonza
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 1,154
- 443
Wewe neno UDHAIFU linakukera nini kwani? Mtu anayepata PASS darasani utesema ni STRONG au WEAK? Hivi unaijua SWOT analysis? Ushawahi kuwa katika interview ya kazi na ukaulizwa weakness zako ni zipi? WEAKNESS ndio UDHAIFU kama hujui! Na ni neno la kawaida sana........Hata Museveni ni dhaifu kwa kudhani familia yake tu ndio ina uwezo wa kutawala. Kila binadamu (akiwemo Mnyika) ANA UDHAIFU WAKE.......sasa labda Kikwete ni jini na si binadamu basi atakuwa hana udhaifu!
Hatokuelewa unaonge na Huyu ZOMBA ambaye shule imempitia pembeni. We angalia hata kauli zake. Usipoteze muda.