Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 90
Ni maswali gani hayo? Yaweke hapa tuone kama ni kweli au la?mpaka mtu aje kutafuta mchumba hapa inaleta maswali mengi,lkn kwa watu wa nchi za dunia ya kwanza ni mambo ya kawaida kabisa
hapo kwingine umejikanyagakanyaga tu dada yangu sioni tofauti ya kwao na ya kwetu, ni suala la kujiamini tu