Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
nani aseme mkuu? Wanakulana na kuanza mbele
Duh hii kalimi nilipata mchumba kupitia online, na baada ya kuonana alikuwa serious kuoa,ila nilishindwa ana kila baya la hapa duniani, ANAVUTA SIGARA,BANGI,anabeba UNGA(Dawa za kulevya)anauza na ANAKULA,aliwahi kuwa mwizi(anadai alikuwa anasingiziwa) ameshakaa jela kama mara 35,mara yake ya mwisho alifungwa PAKISTANI miaka 4, MFIRAJI, sina uhakika, ila nadhani pia ANAFIRWA.
sirudii tena,yamenikuta
hahhahahahhh kiuno umeuami nilipata mchumba kupitia online, na baada ya kuonana alikuwa serious kuoa,ila nilishindwa ana kila baya la hapa duniani, ANAVUTA SIGARA,BANGI,anabeba UNGA(Dawa za kulevya)anauza na ANAKULA,aliwahi kuwa mwizi(anadai alikuwa anasingiziwa) ameshakaa jela kama mara 35,mara yake ya mwisho alifungwa PAKISTANI miaka 4, MFIRAJI, sina uhakika, ila nadhani pia ANAFIRWA.
sirudii tena,yamenikuta
.......Wanaotafuta wachumba sehemu kama hizi wameshindikana huko mitaani. Huu ni mtazamo wangu.
kuwa na wazazi wenye uwezo kumbe nako kunaeza kukukosesha raha fulani ya maisha eeee.....bora yuliokulia uwanja a fisiSi kweli Pretty kwani kuna wadada ambao wako maeneo ambayo ni very isolated kwani kutoka nyumba hadi nyumba ni mita 200 kutokana na kuta kuzunguka nyumba kama magereza. Je na hawa wameshindikana ?. Tunaoishi mitaani tunajijua ila wale wao kwao kunajulikana kwa majina ya wakuu na siyo mitaa kwa mfano utakuta kibao kimeandikwa. Sir. Kowelo plot No.234 au Dr. Nyayo plot.No 456 then na kibao kinachosomeka "MBWA MKALI" hawa hawana interaction isipokuwa wakiwa makazini na shuleni tu. Makazini wanakosa wapenzi kwa watu kuogopa title za wazazi wao au ofisi zao kuwa na married persons wengi na mtaani hawapati wageni na hivyo kubakiwa na option kama ya Online tu.
kuwa na wazazi wenye uwezo kumbe nako kunaeza kukukosesha raha fulani ya maisha eeee.....bora yuliokulia uwanja a fisi
kwa hiyo nipige chini huyu jamaa ambaye nimekutana nae humuKwenye mitandao sio sehemu nzuri ya kutafuta wachumba, watu wengi wanaficha madudu yao hata kama utapata mchumba online mnahitaji muda mrefu wa kusomana hadi muanze mahusiano.
Ukiacha mtandao wale watu ambao huwa wanakutana kwenye events mfano kwenye seminars, wanainteract baada ya event wanaanza mahusiano, ni hatari.
piga chini mama, usikute hilo jamaa ni limwanamke tena libibi.kwa hiyo nipige chini huyu jamaa ambaye nimekutana nae humu
Very interesting!na wakati una mke tayari.funny enough mwezi wa 2.2011 ulitangaza unataka kuoa mhehe!kazi kwelikweliwanapatikana bwana humu nimepata humuhumu nitatangaza soon
nshafany kama ulivyoshauripiga chini mama, usikute hilo jamaa ni limwanamke tena libibi.
ndio maana nakupenda, sio mjeuri.nshafany kama ulivyoshauri