Samwel
JF-Expert Member
- Mar 25, 2007
- 224
- 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie nimeoa na bado sijaona matatizo ya ndoa mpaka sasa nikiona nitawaeleza humu JF.Hakuna ndoa washikaji wanamegana tu ! Usawa huu uowe unatafuta matatizo ya nini?
Shem...kweli kukutana na mtu hakuna fomyula. Mnaweza mkakutana popote pale iwe kanisani, sokoni, shule ya vidudu, kilabuni, mtandaoni nk. Mwisho wa siku ni uamuzi binafsi wa mtu. Mimi binafsi niko open minded na mwangalifu sana kwa wakati huo huo.
Lakini kukutana na mtu mtandaoni kwangu mimi ni no-no kabisa. Mtu unayekutania naye mtandaoni una uhakika gani kuwa ni wewe unayewasiliana naye tu na hakuna wengine? Hii haimaanishi kuwa haiwezi kutokea katika settings zingine lakini mtandaoni nadhani risk level inaongezeka zaidi. Ndio maana mimi kamwe sitakuja kumwambia mtu yeyote information zangu kamili mtandaoni let alone kujisumbua kuwa na uhusiano serious na huyo mtu. Sana sana tukiwa na communication yoyote basi kwangu mimi nitaichukulia kama burudani flani hivi.
Ila natambua kuwa kila mtu ana maisha yake na kila mtu ana haki ya kujipangia hayo maisha kwa jinsi anavyotaka yeye. Kwa hiyo kama wapo wanaopenda kusaka wapenzi mtandaoni pouwa tu. Mimi hainisumbui na wala hainihusu kabisa.
WELL,sasa hivi na beba mabox,nikifka nyumbani,i will consult my second half,so that we once and for all end this argument.WE WILL COME OUT,and express our profound gratitude to JF for uniting us as one-long live JF
Mlikutana mkiwa wakimbizi huko Alaska? Au you are son of Tz?
Haahahaha,ur attitude son of alaska!!!Pole na kubeba boksi,usiwe na hasira sana zitakufanya u-loose focus.U-athlete au u-sportsman umekujaje hapo?! Mkimbizi ni refugee.Mkikutana ughaibuni situation inaweza saidia kujenga penzi kama si pendo atii!some people never cease talking out of their b---k----s,.Wewe umeambiwa tumekutana JF,wewe wasema tumekutana sijui wapi,eti tukiwa wakimbizi!!!mimi sijawahi kuwa an athlete let alone a sportsman
Haahahaha,ur attitude son of alaska!!!Pole na kubeba boksi,usiwe na hasira sana zitakufanya u-loose focus.U-athlete au u-sportsman umekujaje hapo?! Mkimbizi ni refugee.Mkikutana ughaibuni situation inaweza saidia kujenga penzi kama si pendo atii!
WELL,sasa hivi na beba mabox,nikifka nyumbani,i will consult my second half,so that we once and for all end this argument.WE WILL COME OUT,and express our profound gratitude to JF for uniting us as one-long live JF
kwa Mawazo yangu kwanza kabisa ukipata Mchumba Muende wewe na huyo Mchumba mkapime kwanza HIV, kisha Mukiwa muko safi kisha muanze kwanza kujuana tabia zenu kisha baadae ndio litakuja suala la ndoa. kumpata Mwanamke mzuri kabisa awe huyo Mwanamke au mwanamme awe na Tabia nzuri na ukita kumjuwa itabidi umchunguze kabla ya tendo la ndowa.Sio kujuana nae huyo Mtu Mwanamke au Mtu huyo mwanamme kisha mukaowana kwa haraka itakuwa sio jambo zuri ,kwani ndowa yenu haitodumu kwa sababu tabia zenu huenda zisilingane. Huo ndio ushauri wangu mimi.
haipiti siku humu ndani lazima aje mtu
kutafuta mchumba humu ndani.....all in all
ni jambo zuri kama huyo mtu yuko serious....
sasa kinachonishangaza ni kuwa huwa hatusikiiii
chochote kile baada ya tangazo la kutafuta mchumba...
mimi huwa najiuliza maswali kibao..
je alietafuta mchumba alifanikiwa??????
je kuna yeyote aliefanikiwa kufunga ndoa
baada ya kutafuta mchumba humu???
kuna ndoa ngapi zimefungwa baada ya
member humu kuanza matangazo ya kutafuta wachumba?????
Binafsi nafikiri kwa faida ya wana jf ni vizuri tukajua.....
ili ile dhana kuwa huwezi au unaweza pata mchumba online
ijadiliwe kwa ushahidi na data kamili....
binafsi nisingependa jf iwe some kind of pick up site.....
ningependa kuona kama kuna sucsess story kwa
wanaotafuta wachumba humu,tuelezwe.ili wote tufurahie
na tuwaeleze wengine ikibidi.