PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
100% umekusanya mtupu.Nami nimegundua hivyo hasa kwenye mahusiano. Lakin kwenye habar mcanganyiko huko ni kweli tupu pia jukwaa la iman. Na Gossip/jokes. Wengine watakusaidia kutaja zaidi.Japo wengine wamefanikisga kuopoa /kuopolewa. Hawawezi kujitangaza humu! Umuhim tunawatakia salama kwenye Safari zao.But seriously speaking, kuna mtu yeyote kweli mwenye akili timamu anayetegemea kumpata mchumba wa maana humu? I mean sisemi kwamba haiwezekani lakini mimi sehemu kama hii naichukulia kama kijiwe cha burudani tu. Nothing too serious. Hata nikikutana na mtu hapa siwezi kumwambia jina langu la kweli wala kumpa picha yangu ya kweli au information zangu zingine za kweli. It's too risky.