Mnaotafuta wachumba hapa JF...

But seriously speaking, kuna mtu yeyote kweli mwenye akili timamu anayetegemea kumpata mchumba wa maana humu? I mean sisemi kwamba haiwezekani lakini mimi sehemu kama hii naichukulia kama kijiwe cha burudani tu. Nothing too serious. Hata nikikutana na mtu hapa siwezi kumwambia jina langu la kweli wala kumpa picha yangu ya kweli au information zangu zingine za kweli. It's too risky.
100% umekusanya mtupu.Nami nimegundua hivyo hasa kwenye mahusiano. Lakin kwenye habar mcanganyiko huko ni kweli tupu pia jukwaa la iman. Na Gossip/jokes. Wengine watakusaidia kutaja zaidi.Japo wengine wamefanikisga kuopoa /kuopolewa. Hawawezi kujitangaza humu! Umuhim tunawatakia salama kwenye Safari zao.
 
Jamani mie nilivokuja mgeni humu nikawa na respond kwa wanaotafuta wachumba wa kike, tena nilikuwa niko serious na nilitoa information zangu zoote..Mmmh.. Ni vile tuu ilipotokea tunakutana Live, unakuta kama yeye kanidondokea mie nakuwa sijamdondokea na ikitokea mie nimemdondokea yeye anakuwa hajanidondokea..! Hahahaaa.. Nikaona kama ni kamchezo flani hivi hakana maana....Ila siwakatishi tamaa wanaoendelea kutafuta kwani inawezekana wakakutana na walichoandikiwa na Mungu humu..! KILA LA KHERI na mtupage ma feedback baasi!
 
haipiti siku h
mii kwa mara ya kwanza kujoin hapa ilikuwa tarehe 3 jul 2012 nanilitoa tangazo la kutafuta mchumba! nanimetoa ahadi kuwajulisha wana JF kila hatuwa ambayo napiga! nimepata tunaendelea vizuri tumeonana nanina hisi huyu ndie ambae hasa nilikuwa namsaka. hata yeye kanikubali natumain tunaweza piga hatua natarajia kumvisha pete mwezi ujao na nitatoa anwani yangu ili mtuone na kutupongeza. hii ndio hatua nilipo asanteni wa JF wote.
 
hakuna formula utapata wap mke au mendo maana tuliambiwa anatokakwa Mungu.unaweza ukawa umepita sehemu nyingi lakini hujapata choice yako hapa ni mtandao world wide unawezaambulia abdakara.ILA wengi hapa ni matapeli wa pesa,mapenzi,ushushu nikiwa na mud ntamwag story
 
haipiti siku humu ndani lazima aje mtu
kutafuta mchumba humu ndani.....all in all
ni jambo zuri kama huyo mtu yuko serious....
sasa kinachonishangaza ni kuwa huwa hatusikiiii
chochote kile baada ya tangazo la kutafuta mchumba...
mimi huwa najiuliza maswali kibao..
je alietafuta mchumba alifanikiwa??????
je kuna yeyote aliefanikiwa kufunga ndoa
baada ya kutafuta mchumba humu???
kuna ndoa ngapi zimefungwa baada ya
member humu kuanza matangazo ya kutafuta wachumba?????
Binafsi nafikiri kwa faida ya wana jf ni vizuri tukajua.....
ili ile dhana kuwa huwezi au unaweza pata mchumba online
ijadiliwe kwa ushahidi na data kamili....
binafsi nisingependa jf iwe some kind of pick up site.....
ningependa kuona kama kuna sucsess story kwa
wanaotafuta wachumba humu,tuelezwe.ili wote tufurahie
na tuwaeleze wengine ikibidi.

Ili iweje sasa? Waache watu wajilie ngisi.
 
Sidhani ka kuna mafanikio hapa kwanza wengine wanaotafuta wachumba humu wameoa/olewa tayari wanatest zali
 
ukweli ni kwamba mtu unaamua kweli kutoa post yako hapa lakini unakuta mtu anayekujibu ni mume wa mtu
 
ok let me say this if it will help prove something,, when i first join in this site i was strictly into having fun so i flirted kwenye pms na in different comments but as time goes there was one particular member of jf that caught my attention kwa comments zake and how he thinks,, i actually fell for his comments so we started to pm and our friendshp was strictly platonic bu it grew however, so we moved to yahoomessenger and skype and telephones then face to face and to his home and him to my house until now i can say we have a very close relationship and am proud that in jf i actually met someone i connect with.....
 
dah! i really enjoy the posts... but mimi navojua ndoa au mahusiano yanyodumu maranyingi wahusika wanakua ni watu waliofahamiana kitambo kabla hata ya kuwa wapenzi. unatafuta mchumba humu JF ukimpata mlemavu UTAMPENDA siku utakapoonana nae?? unampa ahadi kibao online, i luv u. unazmwaga kibaoo. je mkionana uso kwa uso utamridhia? au ndo mwanzo wakumwagana na kusababisha watu wajitoe uhai..
ni vyema ukapatana na mtu mkiwa mnaonana ili umkubali yy na jinsi alivo na kila uzuri na kasoro zake.. akujae kwenye moyo wako umpende kiukweukweli.....
tucdanganyane humu JF kwamba moyo tu ndo unapenda na wanaotaka kumuona mtu wanakua wametamani.... kuona na kumpenda mtu vinaenda pamoja.....
mabinti wenzangu tuwe makini tusije kuwakubali wakaka wawatu kisha tukawatosa, kisa ooooho nilitaka mume mrefu , au mweusi. jamani tuacheni hayo...
kama unataka kweli mchumba toa sifa zote kwa utimilifu wake ili umpate unae muhitaji.
 
Back
Top Bottom