Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Sijui kuhusu JF,
Lakini enzi za YA kuna watu walikutana wakaoana wana watoto nafikiri mkubwa karibu anaingia high school sasa. Wako fresh tu as far as we know publicly (privately is another matter entirely, I mean who would've thunk Al and Tipper Gore would've separated after all those years and the public image?).
Kwa hiyo ingawa the odds zinaweza kuwa insurmountable, si kweli kwamba haiwezekani.
Na kama kweli waili wote mna nia, JF inaweza kuwa sehemu nzuri ya kukutania kwa sababu wote mnapendana on the mental level kwanza, kabla ya vishawishi vya visuals ambavyo vinaweza kuwa na nguvu kuliko logic kuchukua mwendo..
All in all the key is you gotta know a person very well before marriage.Unaweza kukutana na mtu offline, usichukue muda kumjua, mkaoana kwa heat ya mapenzi mapya, baadaye ikawa disaster.
Unaweza kukutana na mtu online, mkaenda through trials and tribulations na baptism by fire and all that, mka surive, mkajuana vizuri, mkija kuoana mkawa success story kama hiyo ya washkaji niliowasema hapo juu.
Kwa hiyo offline/ online si issue.Kicheche ni kicheche tu offline au online, na binti anayejiheshimu atajiheshimu tu offline au online. Kusema kwamba huwezi kupata binti anayejiheshimu humu online ni sawa na kuwatukana members wenzetu wa kike wote wanaokuja hapa, kitu ambacho kitaonyesha upungufu wako mtukanaji katika kuchambua mchele na pumba.
Halafu hii habari ya kusema great thinkers hawa date ni absurd, wamesema great thinkers, hawajasema ascetic hermits, there is a big difference.
Hata hao kina Gandhi, Mandela, Russell na wengine wali date na kuoa.
Mkuu asante sana kwa majibu mazuri mno..Wengine tumependa kupitia mitandao bila hata ya kuwajua hao tunaowapenda.