Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
changa la machona wewe umeamini?
changa la machona wewe umeamini?
Nina mpenz ambaye tumedumu kama mwaka mmoja sasa na ninampenda sana,lakin tatizo la huyu mtu ni kwamba hanipigii cmu wala kutuma mesege mpaka cku awe anashida ya ku Do ndio ananitafuta.kwel mapnz yapo kwel hapo,?
tht waz 4 my friend sek.Mimi huwa sisahau...Juzi tu hapa uli-post hivi:
Hebu tueleze ndiye huyu au mwingine............au ulikuwa na relation mbili kwa wakati mmoja?
ahahaaaa hii kali au kifo cha mendeLohh, Smile...
Umenifanya nicheke peke yangu.... Lohhh!!!!!! Hata kama ningelikuwa mie, ningelisikitika sana.
Mfano unakuta umeandikwa "Kibamia" au "One minute...." if not "Dhaifu".
Hahaha, kanisave mission impossible. Namuendea bagamoyo wknd nitakupa feedback[/QUOTE]ahahaaa mi mission accomplished..[QU[/B]OTE=Smile;4142037]eheheee King'asti bwana bado upo na wazungu ?mimi nilikua natania tu mi flavour zangu black....wewe wa kwako kakuserve nani...
eth ananiambia alikuwa anataka anitest reaction yangu itakuwa vp thts wy akafanya hvyo
jaman mim niko in a relationship na mtu flan hv,ambaye mara nying huwa hatupo pamoja (long distance relationship)sasa jana nimesafir kuja kwake bahat mbaya sa hz nilikuwa natafuta cmu yngu ciion nikaamua nijibep kwa kutumia cmu yake ili nijue nilipoiweka mda huo yeye alikuwa ametoka anajiandaa kwenda kazin, jamani ckuamin nilichokiona eth nimekuta nimeseviwa jina la rafik yake, et jaman wat is the meaning of tht?nipo dilema yan presha inapanda na kushuka hapa
nimemuuliza though tumeongea kifup,amenambia eth alitaka aone/anipime ntareact vp nkiona vle
mayb ni woga kwel coz i luv him xo much.alaf imetokea sudenly ckuwah kuona dalil yoyote ya kuchokwa[/QUOTE]Presha inapanda kwa sababu ya kuogopa ukweli kuwa hakuhitaji.Hebu jikague,kwa nini unaogopa?Kwa sababu presha kupanda ni matokeo ya woga!
Hahahaha! Wilfred ama Hamisi?
Pole mwaya, samahani kicheko kimeniponyoka. 1+1=11 (source: ODM, 2010). Ji-edit jina lako uandike atm, ama dobi afu muachie simu yake hapo.