Wewe binafsi unaamini nini kuseviwa jina tofauti? Lakini pia umeulizwa maswali ya msingi na gfsonwin labda pia tusaidie kujibu hayo. Lakini pia haya mambo ya kushikiana simu nayo hayako sawa, napata wasiwasi kuamini kama kweli ulikuwa unatafuta simu yako kama ambavyo umesema.Jaman mim niko in a relationship na mtu flan hv,ambaye mara nying huwa hatupo pamoja (long distance relationship)sasa jana nimesafir kuja kwake bahat mbaya sa hz nilikuwa natafuta cmu yngu ciion nikaamua nijibep kwa kutumia cmu yake ili nijue nilipoiweka mda huo yeye alikuwa ametoka anajiandaa kwenda kazin, jamani ckuamin nilichokiona eth nimekuta nimeseviwa jina la rafik yake, et jaman wat is the meaning of tht?nipo dilema yan presha inapanda na kushuka hapa
pige chini njoo kwangu, mimi ntakusevu kwa jina la Diamond
tht z the truth..an' by the way kla m2 huwa yupo huru na cmu ya mwenziye.Wewe binafsi unaamini nini kuseviwa jina tofauti? Lakini pia umeulizwa maswali ya msingi na [MENTION=80923]gfsonwin[/M napata wasiwasi kuamini kama kweli ulikuwa unatafuta simu yako kama ambavyo umesema.
nimemuuliza though tumeongea kifup,amenambia eth alitaka aone/anipime ntareact vp nkiona vlepole sana kwa hilo lililokupata, mi nakushauri vuta subira halafu umuulize umenisave vp kwa phone yako then utaona atakavyojibu ukiona anakuwa mkali au analeta porojo kibao ujue mko wengi so ujue kuwa ww ni sexmate wake tu na hakuna lolote kwa baadae
unaweza kukuta umesaviwa kutokana na nature ya k yako...eheheee
ukukita chemchem..au bwawa ,,or beseni unalo....dah
Ulitaka kuseviwa nani,sweety,honey au?Imetafuna kwako!!!Jaman mim niko in a relationship na mtu flan hv,ambaye mara nying huwa hatupo pamoja (long distance relationship)sasa jana nimesafir kuja kwake bahat mbaya sa hz nilikuwa natafuta cmu yngu ciion nikaamua nijibep kwa kutumia cmu yake ili nijue nilipoiweka mda huo yeye alikuwa ametoka anajiandaa kwenda kazin, jamani ckuamin nilichokiona eth nimekuta nimeseviwa jina la rafik yake, et jaman wat is the meaning of tht?nipo dilema yan presha inapanda na kushuka hapa
hata jina langu pia lingefaa zaidi.Ulitaka kuseviwa nani,sweety,honey au?Imetafuna kwako!!!
Embu fuatilia vizuri unaweza ukagundua kuwa hilo jina la rafiki yake alilokusave,unaweza ukagundua kuwa huyo rafiki yake ndio mtu anayempenda kuliko waote chini ya hili jua,ndio maana kakusave hivyo akifananisha upendo wako na wa huyo rafiki yake,alafu sikuzote ukitaka uonekane malaya mfikirie mabaya mpenzi wako hii ni kwa wote(wake kwa waume)Utaanza fanya malipizi tuu,unatakiwa umfikirie mema mpenzi no matter what!!!!hata jina langu pia lingefaa zaidi.
Lohh, Smile...
Umenifanya nicheke peke yangu.... Lohhh!!!!!! Hata kama ningelikuwa mie, ningelisikitika sana.
Mfano unakuta umeandikwa "Kibamia" au "One minute...." if not "Dhaifu".
Kumbe sio mara yako ya kwanza kuchokonoa simu yake sio?