kuna mgombea anasisitiza udini bila kujijua kwa kutumia kauli ile ile watumiayo wanaompinga Nyerere kwa kutumia dini kuwa ndio iligombea uhuru.Kaanza lilia haki ya kuutumia viwanja vya Jangwani.Anaonekana kujiingiza katika malumbano ya nani kapigania uhuru.
Anashambulia CDM na CCM kuzuga.Anataka dai wanaopokea ruzuku ndio CCM B.
Mpango maalum wa CCM kudhibiti M4C, CUF ni nyumba ndogo ya CCM. Nashangaa sana kuona Profesa Lipumba na elimu yake kutegwa na mtu wenye Bull S**t (BS) ya Siasa ya Ukada maalum kwa kueneza propaganda Jeshini. Mh ****** ni MAFIA na anaendesha siasa za kijasusi. CUF wametegwa, wakategeka na sasa wanacheza ngoma za KIKWERE
Lengo la mkutano huu ni nini maana nasikia wakisema CDM ndio CCM B kwa kuwa kinapata msaada toka kwa Sabodo pia amezungumza issue za Mbowe badala ya operation mchakamchaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.