Halima Mdee na Wenzakeke wapo Bungeni kwa kifungu kipi cha Katiba au umwamba wa viongozi wetu?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,278
2,041
Kuuliza sio ujinga ni kutaka pia kujifunza.Hukumu ya Mahakama kuu iliyotolewa Desemba 2023 juu ya Kesi ya kupinga Kufukuzwa Uanachama wa Chadema ilitamka wazi kuwa Halima na Genge lake Walifukuzwa kihalali kwa mujibu wa taratibu za Chama.

Nilitarajia kwa hukumu hiyo Spika wa Bunge ambaye ni Daktari wa Sheria angekuwa wa kwanza kuielewa hukumu hiyo tofauti na mimi kwamba Katiba ya Nchi inatamka wazi Mbunge unapoteza Sifa za kuendelea na Ubunge pindi Uanachama wako ukikoma kama ulivyokoma kwa Halima na Genge Lake.

Tumewashuhudia Wanachama 8 wa CUF Spika alipopokea tu barua toka CUF aliwaondoa Bungeni na Rufaa wakakata wakiwa sio Wabunge, tulimshuhudia Sophia Simba wa Ccm alipofukuzwa ccm na Bungeni alifukuzwa lakini imekuwa Kinyume kwa HALIMA na wenzake.

Je, ni kufungu kipi cha KATIBA kinawalinda mpaka leo?
 
Viongozi wa nchi wanawadharau wananchi kwa sababu wanajua hatuna cha kuwafanya hata wakiamua bajeti nzima wasifanye chochote hawajengi barabara, hawajengi hospitali wala huduma yoyote wanaamua kugawana tu bado hatutaweza kufanya chochote tukitaka kuja juu tutaambiwa tusichezee amani basi tunatulia.
Ebu fikiria leo hii kuna watu wanafurahia kuitwa wanyonge sasa mtu kama huyo mzima kweli!
 
...huwezi kuwa mbunge mpaka uwe mwanachama wa political party au wale wa kuteuliwa na president...Tanzania ni police state, ila ipo siku ccm nayo itapotea kama kanu, kwa sasa Zanu-PF, swapo,frelimo wamo kwa kutegemea dola, anc came June watapigwa kwenye kona
 
Wenzako unavowaweka kichwani na sisi wanatuweka kichwani hivi
FB_IMG_1709133968511.jpg
 
Kuuliza sio ujinga ni kutaka pia kujifunza.Hukumu ya Mahakama kuu iliyotolewa Desemba 2023 juu ya Kesi ya kupinga Kufukuzwa Uanachama wa Chadema ilitamka wazi kuwa Halima na Genge lake Walifukuzwa kihalali kwa mujibu wa taratibu za Chama.

Nilitarajia kwa hukumu hiyo Spika wa Bunge ambaye ni Daktari wa Sheria angekuwa wa kwanza kuielewa hukumu hiyo tofauti na mimi kwamba Katiba ya Nchi inatamka wazi Mbunge unapoteza Sifa za kuendelea na Ubunge pindi Uanachama wako ukikoma kama ulivyokoma kwa Halima na Genge Lake.

Tumewashuhudia Wanachama 8 wa CUF Spika alipopokea tu barua toka CUF aliwaondoa Bungeni na Rufaa wakakata wakiwa sio Wabunge, tulimshuhudia Sophia Simba wa Ccm alipofukuzwa ccm na Bungeni alifukuzwa lakini imekuwa Kinyume kwa HALIMA na wenzake.

Je, ni kufungu kipi cha KATIBA kinawalinda mpaka leo?
Wapo kwa ujinga na upuuzi wa MAGUFULI. alaaniwe huko alipo mjinga yule
 
Covids wameikataa hiyo hukumu wamekata rufaa
Kovids wanahangaika sana mahakama nao wanapata tabu sana kuwabeba hawa kupe.
Ni vyema.mahakama ya rufani itoe uamuzi mgumu Na ikiwezekana itamke kwamba ni wabunge hewa
 
Kuuliza sio ujinga ni kutaka pia kujifunza.Hukumu ya Mahakama kuu iliyotolewa Desemba 2023 juu ya Kesi ya kupinga Kufukuzwa Uanachama wa Chadema ilitamka wazi kuwa Halima na Genge lake Walifukuzwa kihalali kwa mujibu wa taratibu za Chama.

Nilitarajia kwa hukumu hiyo Spika wa Bunge ambaye ni Daktari wa Sheria angekuwa wa kwanza kuielewa hukumu hiyo tofauti na mimi kwamba Katiba ya Nchi inatamka wazi Mbunge unapoteza Sifa za kuendelea na Ubunge pindi Uanachama wako ukikoma kama ulivyokoma kwa Halima na Genge Lake.

Tumewashuhudia Wanachama 8 wa CUF Spika alipopokea tu barua toka CUF aliwaondoa Bungeni na Rufaa wakakata wakiwa sio Wabunge, tulimshuhudia Sophia Simba wa Ccm alipofukuzwa ccm na Bungeni alifukuzwa lakini imekuwa Kinyume kwa HALIMA na wenzake.

Je, ni kufungu kipi cha KATIBA kinawalinda mpaka leo?
Sioni sababu ya msingi ya viongozi wa serikali ya Ccm kupita mitaani kupambana na wakurugenzi kwa kufuja pesa za umma wakati Waziri Mkuu ana simamia wizi mkubwa sana bungeni.
Wabunge 19 wa Chadema wana liibia Taifa ma bilioni ya shilingi kila mwezi.
Hakuna wanacho sema.
Ila kwa vile wamesha zowea kuwaona Watanzania ni maZombi wana pita mtaani kutudanganya
 
Back
Top Bottom