Daffi Jr
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 3,825
- 906
Mkuu wangu Mtanzania punguza nondo wakati mwingine usiwe unatoa majibu mazito kama haya kumbuka kuna vijana wengi humu JF wamejifunzia siasa humu JF.
Historia za siasa za Tanzania zimeanzia Chadema utakapomwambia mambo ya mwaka 1976 ni kumuonea bure kutoka na umri wake.
JF Daima.
Pamoja sana!mwelekeo wako ni mzur sana 'kujivua gamba na kuvaa gwanda'!karibu kijana uwe mpambanaji km wenzako,eg milya and etl.
Last edited by a moderator: