JacksonMichael
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 339
- 61
MOD nawaomba na hii muiamishe maana ile yangu ilikuwa muhimu sana kwa taifa mmeihamisha.
Wanafiki wanaumbuka kweupeeeee!
Wananchi amkeni, CDM sio chama.
Asante bwana Jackson
Mkutana umemalizika salama hakuna hata sisimizi alie umizwa na hakukuwepo na Polisi...
Akihutubia utitiri wa wana CDM wa Arushwa Mh. Mbowe alieleza maeneo yafuatayo ambayo KIKWETE amevunja katiba Ya Tanzania.
1. Huwezi kumteua mtu awe mbunge halafu kabla hajakabidhiwa na kuapa kwa kanuni za bunge unamteua kuwa waziri kama alivyofanya jana. Wabunge aliowateua hata kabla hawajaidhinishwa na bunge yeye akawapa madaraka ya kuwa mawaziri na mbaya zaidi kumteua mtu asubuhi mbunge na jioni anakuwa waziri. Mfano mzuri wa mgongano huo ni wakati mbunge wa viti maalum wa chadema alipopeleka maswali bungeni (Akiwa ni mteule baada ya kuchukua nafasi ya Regia Mtema R.I.P) swali lake liliondolewa kwa sababu tu wabunge wa CCM walikataa kwa sababu hajaapishwa. Je? kanuni hiyo inafanya kazi kwa sababu ni mbunge wa chadema tu? CCM na Kikwete wako juu ya sheria?
2. Kuna wizara za Muungano ambazo ni Mambo ya ndani, jeshi na kujenga taifa, fedha, mambo ya nje lakini nyingine ni za Tanzania bara tu! mfano elimu ni bara tu maana zanzibar wana ya kwao au afya ni ya bara tu! Lakini leo Huseein Mwinyi ambaye ni mzanzibar anapewa wizara ya afya ya Tanzania bara! JE? Zanzibar wamewahi kufanya makosa kama hayo? au ni sisi tunajikomba kwao? kwani katiba si inasema wazi?
Naomba kuwasilisha
huu uzi unajitegemea,huwezi kufananisha na ule wako usiokuwa na mantikiMOD nawaomba na hii muiamishe maana ile yangu ilikuwa muhimu sana kwa taifa mmeihamisha.
Ama kweli JF imevamiwa..maneno aliyoyasema Mbowe huhitaji elimuhata lasaba kugundua hilo...kwa hiyo kama kuna makosa yalifanyika zamani basi yaendelee, je unaweza kutoa mfano ni waziri gani kutoka Zanzibar ambae alisha wahi kupewa wizara inayo husu Tanganyika...Looh! Mwenyekiti wa chama anahoji huo utaratibu ambao upo TZ tokea enzi za Nyerere mpaka sasa. Ina maana haelewi au ni siasa tu?
Unaweza usiupende utaratibu fulani lakini kusema amevunja katiba ni tuhuma nzito sana hasa ikitolewa na kiongozi wa upinzani bungeni. Je kweli Mbowe amekaa na wanasheria wake kabla ya kuongea hili?
Mkuu ebu rudia kusoma hicho kifungu cha kwanza,kama sheria hiyo ilitumika kumzuia mbunge wa CDM bungeni kwa sababu hajaapishwa inakwaje ifanye kazi upande wa CCM?think twine bhanaLooh! Mwenyekiti wa chama anahoji huo utaratibu ambao upo TZ tokea enzi za Nyerere mpaka sasa. Ina maana haelewi au ni siasa tu?
Unaweza usiupende utaratibu fulani lakini kusema amevunja katiba ni tuhuma nzito sana hasa ikitolewa na kiongozi wa upinzani bungeni. Je kweli Mbowe amekaa na wanasheria wake kabla ya kuongea hili?
Ama kweli JF imevamiwa..maneno aliyoyasema Mbowe huhitaji elimuhata lasaba kugundua hilo...kwa hiyo kama kuna makosa yalifanyika zamani basi yaendelee, je unaweza kutoa mfano ni waziri gani kutoka Zanzibar ambae alisha wahi kupewa wizara inayo husu Tanganyika...
Atasema alishauliwa na CC ya CCM.....mimi nilishangaa wakati analitangaza baraza la mawaziri alikuwa anaongea huku akitetemeka kumbe alikuwa anajua anatenda dhambi kubwa kwa watanganyika....Jk haelewi nini maana ya 'urais' amekuwa kama msukule vile...
Ukiwa kichwani ni dafu sikitika milele!!
Mzee Mwanakijiji ukisikiliza kauli nzima ya dogo janja haikuwa na madhara,ila watu wanasimamia kwenye kipengele kidogo ambacho wao ndo walikuwa wanaitaka ili kuonyesha weakness ya CDM,mbona Mbowe kaelezea tu vizuri pale kuwa hiyo siyo kauli ya chama
Mkuu ebu rudia kusoma hicho kifungu cha kwanza,kama sheria hiyo ilitumika kumzuia mbunge wa CDM bungeni kwa sababu hajaapishwa inakwaje ifanye kazi upande wa CCM?think twine bhana