Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,925
- 12,208
Mawaziri hao wamejadili masuala mbalimbali ikiwemo Wasilisho la Nchi Wanachama kuhusu Miongozo ya Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2024/2025 na Kaulimbiu za bajeti kwa mwaka wa Fedha 2024/2025.
Viongozi wengine walioshiriki Mkutano huo kwa upande wa Tanzania, ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango-Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Stephen Byabato (Mb), Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango-Zanzibar, Dkt. Juma Malik Akil, Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata, Maafisa na wataalam wengine kutoka Serikalini.