Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Tangu lini mwanamke akiwa na shoga mwanaume? Atuambie bayana kuwa huyo Gambo ni mchepuko wake! Asitumie tafsida kumfumba LemaKwa lipi? Kwani mtu akisema wewe na Chabruma ni mashoga wa muda mrefu kwa sababu kila usemacho wewe au asemacho yeye lazima mpeane support atakuwa katukana?
Msiwe na mawazo kama ya Wassira wakati ule alipopigana ukumbi wa Habari maelezo alipoambiwa yeye ni shogaake mkubwa na Mrema walipokuwa NCCR. Lakini baada ya kupewa maelezo ya maana sahihi ya shoga alitulia.