Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,620
- 2,717
Labda kwa nini wahamaki na kumpeleka huyo mama mahakamani.
mkuu hapo kuna mawili. Ama anajitongozesha ama amezoea kuwaita wanaume wengine hivyo ili kutoa mwanya wa kutongozwaKwa mwanamme kumuita hivyo sio sahihi kabisa amekosea .
Yeah! Wale makamanda wa kuzungusha , kichwa,mikono na ki..... Watachangishwa faini huku wanachekelea!Atatozwa hela den makamanda watamchangia
Mh!!Wakati wanasoma sekondary mkuu.
ili kukomesha tabia za namna hiyo.Labda kwa nini wahamaki na kumpeleka huyo mama mahakamani.
Mala kwa mala? Hivi huko shuleni mlienda kusomea nini?Mke anataka kwenda kuona huko Kisongo kuna nini? ? Mbona mume wake anakupenda sana kwenda mala kwa mala? ??
Mke wa Mbunge wa Arusha Mjini, Neema Tarimo amefikishwa mahakamani jijini Arusha na kusomewa shtaka la kumtukana Mkuu wa Mkoa, Mrisho Gambo baada ya kumtumia ujumbe kwenye simu yake wenye neno 'shoga'.
Mke wa Mbunge huyo amekana kumtusi Mkuu huyo wa Mkoa baada ya kudai kuwa neno shoga sio tusi bali ni neno ambalo hulitumia kuwaita marafiki zake.
Amesema neno shoga kwenye mazingira ya Tanzania humaanisha rafiki.
Kuna " mashoga" wameoa wake na wana watoto." Ushoga" si ubaradhuli, kama jongoo hapandi mtungi,lakini mchezo tu huwa anaufurahia!Mpe mkeo uone asiporudi na dabo dabo.
Sasa kama ana uthibitisho na tabia zao zinalingana basi ni stahili yake; kwa nini asiwite " mkufu kuwa mkufu na kuwa hausimiki hausimami?"Yaani mwanamke anamwita mwanaume tena mkuu wa mkoa shoga huyu mke wa lema kiboko
Shoga maana yake rafiki.Hayo mengine yamekuja baada ya kutafuta jina mbadala.Lakini kW auhakika shoga maana ni rafiki wa karibuShoga ni marafiki wa kike kwa kike. Ukimuita mwanaume shoga tayari ushatukana.
Siyo kweli...jivunze ku associate fikra zako mkuu...kwa wanawake neno shoga humaanisha 'rafiki' na unapoitwa shoga na mwanamke inamaanisha 'rafiki'. Mchezo huu hauhitaji hasira..nadhani ingekuwa vema serikali ikajikita katika kutatua kero za wananchi kuliko kupoteza raslimali za walipa kodi....Hivi Gambo alivyomtusi mwanasheria wa korogwe alichukuliwa hatua gani...hapa Rais wangu mpenzi ukichunguza kwa umakini, Gambo hana sifa kuwa kiongozi au mteule wako. Hapa Kenya tunatamba mitaani kwasababu ya kasi yako ya kupambana na ufisadi na kurudisha heshima ya nchi katika mstari baada ya kupotea last 10 yrs. Sasa ni ushauri tuu..huyo Bwana Gambo muda mwingi anautumia kupiga madili pale Kibo palace Hotel...sijui anakuwaga na vikao vya nini kila mara...tupia jicho lako huko mkuu..kuna mengi yamejificha ...jaribu kuwawekea perfromance agreements utagundua kuwa hana uwezo na hivyo amejificha nyuma ya kivuli cha lema...Shoga ni marafiki wa kike kwa kike. Ukimuita mwanaume shoga tayari ushatukana.
Yaani mwanamke anamwita mwanaume tena mkuu wa mkoa shoga huyu mke wa lema kiboko
Ukiolewa na criminal na we polepole unaingia katika u criminal.
Hujanielewa wapi mkuu? Mbona nimesema shoga ni marafiki wa kike?Siyo kweli...jivunze ku associate fikra zako mkuu...kwa wanawake neno shoga humaanisha 'rafiki' na unapoitwa shoga na mwanamke inamaanisha 'rafiki'. Mchezo huu hauhitaji hasira..nadhani ingekuwa vema serikali ikajikita katika kutatua kero za wananchi kuliko kupoteza raslimali za walipa kodi....Hivi Gambo alivyomtusi mwanasheria wa korogwe alichukuliwa hatua gani...hapa Rais wangu mpenzi ukichunguza kwa umakini, Gambo hana sifa kuwa kiongozi au mteule wako. Hapa Kenya tunatamba mitaani kwasababu ya kasi yako ya kupambana na ufisadi na kurudisha heshima ya nchi katika mstari baada ya kupotea last 10 yrs. Sasa ni ushauri tuu..huyo Bwana Gambo muda mwingi anautumia kupiga madili pale Kibo palace Hotel...sijui anakuwaga na vikao vya nini kila mara...tupia jicho lako huko mkuu..kuna mengi yamejificha ...jaribu kuwawekea perfromance agreements utagundua kuwa hana uwezo na hivyo amejificha nyuma ya kivuli cha lema...