Mke wa Mbunge Lema ashtakiwa kwa kumtumia ujumbe Mkuu wa Mkoa wenye neno 'Shoga'

lkn mke wa lema anaakisi tabia za lema na mkewe pia anazo....ndege wamoja
 
Huyo mwanamke bora angesema, nilikosea namba ujumbe ukaenda ambako sio.

Lakini kwa maelezo hayo inaonekana alidhamiria kabisa kumtukuna RC.

Sijapenda Lema anavyomwingiza mke wake kwenye siasa za maji taka.......

Mimi sielewi neno "shoga" ni tusi kwa namna gani.

Naona tunajadili kitu ambacho hakija fafanuliwa kwa ufasaha eti....n
 
Tafuta tafsiri ya neno SHOGA katika kamusi hayo mengine yako
Matumizi ya neno hayaishii kwenye kamusi tu bali jamii hulichukuliaje hilo neno shoga kwenye matumizi ya kila siku hasa linapohusu mwanaume
 
1. Siasa ni hatari sana, Mwanamke bila kujali Maandiko Matakatifu na Mila zetu za kiafrika juu ya utii wa Mwanamke kwa Mwanaume anaweza kuwa huru kabisa kabisa kumtukana Mwanaume na mwisho wa siku tukakubali, zile ni siasa tu. Aisee;
2. .Mwanamke hata uwe umesoma vipi(sina uhakika kama mke wa Lema ana shule gani), bado umwanamke haukuishi kamwe. Hivi Mke wa Lema anaposema yeye ana mashoga wengi hivyo haoni tatizo RC Ghambo kuitwa Shoga, anataka kutuambia yeye na Lema wanaitana SHOGA? Kama ni kweli wanaitana SHOGA, basi Lema aje atufafanulie hili kwanini anaitwa SHOGA.

3. .KUNA Baadhi ya wanasiasa wamejaliwa kuwa ana wanawake waliouvaa uwana-uke, la sivyo tungekuwa tunashuhudia vimbwanga kila siku. Hongera zao akina Edward Lowassa, Freeman Mbowe, Nape Nnauye, Zitto Kabwe, Devid Kafulila, Januari Makamba, Sospeter Muhongo n.k. Hawa wanasiasa wamepitia vipindi vigumu sana katika safari zao kisiasa lakini hatujawhi kusikia kauli za wake zao. Sipati picha Lema angekuwa Ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Walinzi wake lazima wangekuwa Wabunge Wanawake wa CHADEMA na huwenda hata nguo za ndani wangekuwa wanamfulia na kumvalisha.
4. Tabia ya mtu inaweza kuwa siyo kwa kupenda kwake, bali inatokana na msongo wa mawazo unaotokana na mikikimikiki anayokumbana nayo kwenye familia yake. Nina mashaka na Familia ya Lema. Huyu mama siyo wa kawaida. Eti ni kawaida huwa anawasiliana na RC Gambo kupitia namba yake nyingine, Lema analijua hilo?

NIMEJIFUNZA HAYO KWA LEO.
 
Nionavyo Mimi huyu mama anafanya hivi ili kumuokoa mmewe. Inasemekana usajiri wa namba iliyotukana inatumia jina la Godbless Lena. Alipofuatwa kukamatwa Lena mama akasema ni yeye ndiye mwenye namba hiyo na ndivyo alivyosajiri.
 
Hilo ndo la kujiuliza. Halafu anasema kuwa wamekuwa wakiwasiliana mara kwa mara. Hivi Lema anajisikiaje kusikia mkewe akisema hayo? Kwa nini hashtuki?
Usijekuwa mchezo kumbe ni mheshimiwa mwenyewe alitumia simu hiyo kukwepa msala (nawaza tu)
 
Nionavyo Mimi huyu mama anafanya hivi ili kumuokoa mmewe. Inasemekana usajiri wa namba iliyotukana inatumia jina la Godbless Lena. Alipofuatwa kukamatwa Lena mama akasema ni yeye ndiye mwenye namba hiyo na ndivyo alivyosajiri.
Ina maana kavunja sheria za usajiri za TCRA ambazo huhitaji kila MTU asajili kwa vitambulisho vyake binafsi adhabu inamsubiri ya nguvu
 
Mke wa Mbunge huyo amekana kumtusi Mkuu huyo wa Mkoa baada ya kudai kuwa neno shoga sio tusi bali ni neno ambalo hulitumia kuwaita marafiki zake.
Ni sahihi kabisa, Shoga (kwa kiswahili fasaha na sanifu) si tusi ila ni rafiki wa kike. Shoga si baradhuli. Hata hivyo inawezekana ikawa sahihi kama uwa anaweza kuthibitisha kuwa kweli ni " shoga" kwa kuwa hakuna tofauti baina yao! Sauti nene pekee haimaanishi kuwa" mtoto si riziki"

Mambo mengine hayana hata faida kuyafikisha mahakamani zaidi ya kujitusi mwenyewe na sasa kujibatiza jina hilo mwenyewe. Ila tu kama kuna ukweli wa"USHOGA" ndani yake.
 
I see. Unamwita mwanaume shoga wakati ambapo mume wako yuko Dodoma. Ulikuwa unataka akufanye nini?? Nina wasiwasi na ukamilifu wa Lema kwenye masuala ya ndani
 
Ndio maana kuna familia watu hushauriwa wasioe au kuolewa.hivi hapo MTU una nduguyo kapata MTU wa kuoa au kuolewa hiyo familia ya lema si utamzaba makofi na kupiga mateke kuwa anaingia makundi ya organized criminals
Kama ni Mwanangu anakomaa kuoa au kuolewa na familia ya Criminal Lema, Wallah namuachia radhi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom