Gut
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 2,852
- 3,404
Hahaha shoo.Huyo mama hajielewi kununua kesi ya mumewe noma akifungwa hapo jamaa anaenda oa mchepuko chapchap.angembwaga tu na kusema kuwa lema alichukua simu yangu akaitumia kutukana kama kufungwa afungwe mwenyewe