Mkakati wa Kuwafelisha Waislam Kidato Cha Sita Wabainika

Status
Not open for further replies.
And none of these subjects count in admissions to higher education! What is the worry now?

But my Islams friends, when you discriminate yourself the society will do just that to you! When you brandish yourself in a unique attire amidst several other beliefs but pursuing same mission like university education, you only telling the others that you are different and you need to be treated differently! The reason tribalism disappeared in Tanzania was mainly due to the fact we ignored its existence and insisted on Swahili as common language- but the tribes did not die, they are there and custoums are flourishing! I do not see reasons for showing off as means of upholding ones beliefs in the Almighty God!

Wewe na wale waliochangia kwa aina yako hawaelewi kitu.

Islamic Knowledge inasaidia kama mtu anataka kusomea "Sharia" - kaulize.

Pengine ni mkakati wa kupunguza wajuvi wa Sharia ili vitu kama mahakama ya Kadhi viendelee kua ndoto.

Ila tu kwa msioamini hii issue mtakuja kuamini tu. Chanzo changu cha habari kinasema huenda matokeo yaliyochakachuliwa yakakarekebishwa kwenye internet. Yaani kukawa na matokeo tofauti kati ya Vitabuni na Internet.

Msioamini nawaambia kua LAKUM DIN KUM WALIYA DIN
 
Binadamu tunapenda kuchukia kitu tusichokijua,lakini kwa hakika, haki,haitangamani na batili! Mungu anajua..
 
Kaka hujaelewa mchezo ulivyoenda.
Masheikh walisahihisha wakaenda zao,
Kazi ya ku- compile ni ya NECTA, na hapo ndipo mchezo ulipochezeka!!

una uhakika na unacho kinena?!
 
Mod ambaye upo zamu tuondolee huu UTUMBO hapa...unaleta nzi
 
Wewe na wale waliochangia kwa aina yako hawaelewi kitu.

Islamic Knowledge inasaidia kama mtu anataka kusomea "Sharia" - kaulize.

Pengine ni mkakati wa kupunguza wajuvi wa Sharia ili vitu kama mahakama ya Kadhi viendelee kua ndoto.

Ila tu kwa msioamini hii issue mtakuja kuamini tu. Chanzo changu cha habari kinasema huenda matokeo yaliyochakachuliwa yakakarekebishwa kwenye internet. Yaani kukawa na matokeo tofauti kati ya Vitabuni na Internet.

Msioamini nawaambia kua LAKUM DIN KUM WALIYA DIN


viongozi wote zanzibar ni waislam, viongozi wakuu wa bara waislam kuanzia rais jk,makam wake n.k lakini bado mnaongea hivyo je viongozi wangekuwa wakristu ingekuwaje?mbona mnawasahau wapagani?wasabato n.k
 
Habari ambazo nimezipata kutoka katika Chanzo nachokiamini ambacho kina uhusiano na Baraza la Mitihani (NECTA) ni kua ulikuwepo mkakati wa kuwafelisha wanafunzi wa Form six waliofanya somo la ISLAMIC KNOWLEDGE ambao matokeo yao yametoka hivi karibuni lakin mkakati huo UMEKWAMA.

Kukwama huko kwa mkakati huo kunakuja huku matokeo yakiwa yashatoka, na kuna habari kua kwa mara ya kwanza katika historia ya Board, wanafunzi hao wa kiislam watapewa upya matokeo yao badala ya yale ya awali ambayo iligunduliwa "yamechakachuliwa"

Uchakachuaji huo umekuja kwenye somo la "Islamic Knowledge" ambalo kawaida hua Lina "paper" 2.

Kuna tetesi kua Katika usahihishaji wa somo hilo, uchakachuzi umefanyika kwa kujumlisha paper zote mbili lakin "wastani" ukapatikana kwa kuchukua jumla ya alama na "kugawa kwa 3" jambo ambalo limepelekea wastani uwe mdogo kuliko uhalisia.

Hii imekuja baada ya kutopatikana angalau A moja tu.

Simply ukipata 80 na 82 wastani utakuja 81 tu.
But kama jumla (162) inagawanywa kwa 3 badala ya 2 ni wazi kua wastani utashuka kua 54 badala ya 81 (27 less).

Habari mkuu,
Tazama wekundu huo..
Baraza la mitihani sio mtu mmoja na ninaamin kuna watu wa dini zote kuanzia kwenye utungaji wa mitihani, usahihishaji, ujumuishaji wa maksi na utoaji wa matokeo, kwa hiyo kama ni kweli (kitu ambacho nina mashaka nacho) basi elewa hata nyie wenyewe mmesalitiana. Lakini pia tujiulize kwa lipi hasa hadi watu waamue kuchakachua Islamic Knowledge au hata Bible Knowledge?!
Umesema mkakati umekwama matokeo yakiwa yametoka halafu ukasema watapewa upya matokeo yao?! mbona sielewi hapa!? Hii ina maana matokeo yao hayajatoka! Ina maana baraza siku hizi linatoa matokeo kwa mafungu?! Hebu kajipange tena...
Ningependa kukuuliza swali, ina maana kwako matokeo ya somo fulani yakitoka bila kuwa na A 'nyingi' maana yake yamehujumiwa?!
Sitaki kumhukumu mtu ila naona mwenzetu una matatizo!
 
Kama ni kweli ni jmabo baya na la kusikitisha sana. Lakini najiuliza wanawafelisha ili iweje? Sipatai jibu na hivyo kubaki na mashaka na habari hii. Ina maana NECTA ina dini siku hizi?
 
Jamani, what is it to do with medicine,engineering, law or sociology? nani anayesahihisha mitihani hiyo ya dini? Mbona watu tunapenda uzushi? Tunataka kuiharibu Tanzania kwa udini! Ila kabla haijaharibika,walioanzisha mchakato watakuwa wa kwanza kwenda zao na maji
 
Dini ya kiislamu ni nzuri sana, lakini baadhi ya waumini wake wanaidhalilisha na kuishusha hadhi! (No conflict of interest, kwa kuwa mimi si muumini wa dini yoyote)
 
Binadamu tunapenda kuchukia kitu tusichokijua,lakini kwa hakika, haki,haitangamani na batili! Mungu anajua..
Wao wamezoea kuchanganya haki na batili ! Ndo maana wako bize kuziharibu ishara ! Wana uwezo mpaka wa kufuta 'maneno' ya Mwenyezi Mungu wakaweka yakwao !.
 
Hivi mbona nyie mnapenda sana kulalamika kila wakati!? Kila kitu nyie ndio kihelehele kuona mnaonewa! Hayo matokeo si washehe wenu ndio wanashahihisha au wachungaji!? Acheni utoto nyie!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom