Watahiniwa 63,583 wa Kidato cha 4 wamefeli kwa kupata Division 0

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,379
8,123
Jumla ya Wanafunzi waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha 4 mwaka 2022 walikuwa 534,753 lakini waliofanya Mtihani huo ni 522,217 ambapo Wasichana walikuwa 280,251 na Wavulana 241,966. Tafsiri ya haraka ni kuwa zaidi ya wanafunzi 12,000 hawakufanya Mtihani wa kumaliza Kidato cha 4.

Kiwango cha ufaulu katika Matokeo hayo kilikuwa kama ifuatavyo. Waliopata Daraja la I, II na III ni 192,348 wakati waliopata Daraja la IV ni 264,627 na Waliofeli kwa Daraja 0 ni 63,583.

Chanzo: NECTA
 
Siyo vizuri kuwa-grade wanafunzi.

Kwamba; hawa wamepata division one na hawa zero wakati mazingira ya kujifunza, uwezo wao darasani, n.k. ni tofauti.

Huko ni kuwafanyia marketing wanaopata division one waonekane ni bora zaidi ya waliopata sifuri.

Matokeo yake wengine wanakariri tu ili wapate division one badala ya kujifunza waelimike.

NECTA waachane na huu mfumo.
 
Jumla ya Wanafunzi waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha 4 mwaka 2022 walikuwa 534,753 lakini waliofanya Mtihani huo ni 522,217 ambapo Wasichana walikuwa 280,251 na Wavulana 241,966. Tafsiri ya haraka ni kuwa zaidi ya wanafunzi 12,000 hawakufanya Mtihani wa kumaliza Kidato cha 4.

Kiwango cha ufaulu katika Matokeo hayo kilikuwa kama ifuatavyo. Waliopata Daraja la I, II na III ni 192,348 wakati waliopata Daraja la IV ni 264,627 na Waliofeli kwa Daraja 0 ni 63,583.

Chanzo: NECTA
Pole sana kwa wazazi wao.
 
Siyo vizuri kuwa-grade wanafunzi kuwa hawa wamepata division one na hawa zero wakati mazingira ya kujifunza, uwezo wao darasani, n.k. ni tofauti.

Huko ni kuwafanyia marketing wanaopata division one waonekane ni bora zaidi ya waliopata sifuri. Matokeo yake wengine wanakariri tu ili wapate division one badala ya kujifunza waelimike.

NECTA waachane na huu mfumo.
kabisa
kama walivyo acha kutangaza shule zinazo fanya vizuri waache pia kwa wanafunzi
 
Kwa jinsi ilivyo serikali kutojali hao wanafunzi inaoona wamefeli wataachwa wakafilie mbali bila kuwaandalia mpango endelevu wa kuendeleza maarifa waliyoyapa kwa miaka yote minne. Serikali huwa haijiulizi hao maelfu ya hao wanafunzi huwa wanaenda wapi baada ya kufeli? Ina deal na wachache inaoona ndio wamefauli huku ikiacha nguvu kazi ipotelee kusikojulikana. Wale wanafunzi wanaofeli bado ni lulu kwa taifa wasibezwe na kudharauliwa
 
Kwa jinsi ilivyo serikali kutojali hao wanafunzi inaoona wamefeli wataachwa wakafilie mbali bila kuwaandalia mpango endelevu wa kuendeleza maarifa waliyoyapa kwa miaka yote minne. Serikali huwa haijiulizi hao maelfu ya hao wanafunzi huwa wanaenda wapi baada ya kufeli? Ina deal na wachache inaoona ndio wamefauli huku ikiacha nguvu kazi ipotelee kusikojulikana. Wale wanafunzi wanaofeli bado ni lulu kwa taifa wasibezwe na kudharauliwa
Ukweli mtupu, karibu 80% watabaki mtaani matokeo yake ni mabaya.
 
Siyo vizuri kuwa-grade wanafunzi.

Kwamba; hawa wamepata division one na hawa zero wakati mazingira ya kujifunza, uwezo wao darasani, n.k. ni tofauti.

Huko ni kuwafanyia marketing wanaopata division one waonekane ni bora zaidi ya waliopata sifuri.

Matokeo yake wengine wanakariri tu ili wapate division one badala ya kujifunza waelimike.

NECTA waachane na huu mfumo.
Kuna siku mtasema hakuna haja ya mitihani, wote wapewe vyeti vya kukanyaga darasani!
 
Kwa jinsi ilivyo serikali kutojali hao wanafunzi inaoona wamefeli wataachwa wakafilie mbali bila kuwaandalia mpango endelevu wa kuendeleza maarifa waliyoyapa kwa miaka yote minne. Serikali huwa haijiulizi hao maelfu ya hao wanafunzi huwa wanaenda wapi baada ya kufeli? Ina deal na wachache inaoona ndio wamefauli huku ikiacha nguvu kazi ipotelee kusikojulikana. Wale wanafunzi wanaofeli bado ni lulu kwa taifa wasibezwe na kudharauliwa
Wengi wanaenda kuolewa na wengine kuwa dereva bodaboda na Kisha kwenda veta Ni nzurj zaid Kama wataenda veta

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Natamani kuanzisha shule na chuo niwe nachukua wanafunzi waliofeli. Kimsingi hakuna mwanafunzi anaeenda shuleni au chuoni kufeli. Dhana nzima ya elimu na kanuni zake hazikubaliani na mtazamo wa kufeli kwa wanafunzi
 
Natamani kuanzisha shule na chuo niwe nachukua wanafunzi waliofeli. Kimsingi hakuna mwanafunzi anaeenda shuleni au chuoni kufeli. Dhana nzima ya elimu na kanuni zake hazikubaliani na mtazamo wa kufeli kwa wanafunzi
Ukianzisha shule yako

Usikose kuwaletea wanafunzi wako

Wasanii wawe wanacheza baikoko+kukata miuno

Ova
Screenshot_20230130_111737_YouTube.jpg
 
Jumla ya Wanafunzi waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha 4 mwaka 2022 walikuwa 534,753 lakini waliofanya Mtihani huo ni 522,217 ambapo Wasichana walikuwa 280,251 na Wavulana 241,966. Tafsiri ya haraka ni kuwa zaidi ya wanafunzi 12,000 hawakufanya Mtihani wa kumaliza Kidato cha 4.

Kiwango cha ufaulu katika Matokeo hayo kilikuwa kama ifuatavyo. Waliopata Daraja la I, II na III ni 192,348 wakati waliopata Daraja la IV ni 264,627 na Waliofeli kwa Daraja 0 ni 63,583.

Chanzo: NECTA
ONGEZEKO LA WAJINGA
 
Back
Top Bottom