BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,379
- 8,123
Jumla ya Wanafunzi waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha 4 mwaka 2022 walikuwa 534,753 lakini waliofanya Mtihani huo ni 522,217 ambapo Wasichana walikuwa 280,251 na Wavulana 241,966. Tafsiri ya haraka ni kuwa zaidi ya wanafunzi 12,000 hawakufanya Mtihani wa kumaliza Kidato cha 4.
Kiwango cha ufaulu katika Matokeo hayo kilikuwa kama ifuatavyo. Waliopata Daraja la I, II na III ni 192,348 wakati waliopata Daraja la IV ni 264,627 na Waliofeli kwa Daraja 0 ni 63,583.
Chanzo: NECTA
Kiwango cha ufaulu katika Matokeo hayo kilikuwa kama ifuatavyo. Waliopata Daraja la I, II na III ni 192,348 wakati waliopata Daraja la IV ni 264,627 na Waliofeli kwa Daraja 0 ni 63,583.
Chanzo: NECTA