Kwa kuangalia Serikali yetu...oops yake...oops yao, ya kukurupuka na kutokuwa na mipango, kutokuwa na wanaoweza kuweka mipango bila ubinafsi na roho mbaya. Wamejikuta wanahitaji ambulance, kuangalia zinazopelekwa hospitali za manispaa na jeshini kiutapeli na cmc na toyota wakaona sio ambulance ikabidi mbadala utafutwe... lingepatikana la ikulu hata kwa haraka, ila kwanini lipatikane....kodisha la tanil tule hela ya wananchi...yote haya yana mwisho.