Ni mtazamo wangu, labda na Watanzania wengi kwamba serikali ina imani na mifumo na mipango yake ya huduma za kijamii mfano Afya, elimu nk. kwa watu wake. Hii ambulance ya Ultimate Security inayoambatana na misafara ya JK kila siku inaashiria hata yeye hana imani na mifumo yake mwenyewe au ndo mkubwa anafaidi PAJA siku zote, Km ilivo kwa wao kupeleka watoto wao ulaya kusoma?
Mifumo ya serkali imekufa hata ya kumsave Mkuu? Bili yake tunaijua? Au intelijensia applies?
Kwa njia hii, ata
yajuaje machungu ya mama mjamzto wa Chongoleani anaefia njian kwa kushindwa fika hospital kwa kukosa referral support?
Mifumo ya serkali imekufa hata ya kumsave Mkuu? Bili yake tunaijua? Au intelijensia applies?
Kwa njia hii, ata
yajuaje machungu ya mama mjamzto wa Chongoleani anaefia njian kwa kushindwa fika hospital kwa kukosa referral support?