Mh................!!!

Inategemea na mtu mwenyewe, kama alikuwa anafanya hizo tabia kwa malengo fulani siku malengo yatakapotimia anaweza kubadilika, mf kama binti alikuwa anafanya ukahaba kwa ajili ya dhiki, siku atakapoolewa na mtu mwenye kumwezesha anaweza kutulia
bt kama mtu alikuwa anafanya kwa ajili ya starehe kuacha itakuwa ndoto za alinacha.
 
Wapendwa
Nawaamkua!!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.

Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?
mbona unaongea maneno mengi sana, kwani wewe umempenda changudoa dada? au?hueleweki....
 
Wapendwa
Nawaamkua!!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi etc. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.

Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?

Hatari tupu hapo MJ1! hapafai kabisa kutia mguu labda kama huuonei huruma moyo wako.
 
Okay kwa hiyo unakubali sumu yawezajaribiwa eh?

Na unaposema anything can happen ina maana hata yule aliyekuwa 'msafi' kwa maana ya kutokuwa na footsteps chafu, ana possibility ya kuwa 'mchafu' huko mbeleni? Si ndio (Tukiweka push and pulling factors?)..........
Wewe unaakili sana wewe, hivi unakunywa kinywaji gani????!!!

.......I am Only a Human,........................Naweza kuwa Malaika au Sheitwan, the choice is mine!
 
Wapendwa
Nawaamkua!!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.

Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?

Mabadiliko yatetegemea ni nani ameyasababisha...............................kama ni CHRIST OUR LORD is behind it..............................lazima yatakuwa ni ya kudumu hayo na yaondolee mashaka lakini mengineyo ni mabadiliko ya nguvu ya soda................Be very afraid......................Be a wary observer.........
 
Wewe unaakili sana wewe, hivi unakunywa kinywaji gani????!!!

.......I am Only a Human,........................Naweza kuwa Malaika au Sheitwan, the choice is mine!

LOL!!!!....e bana eee hii nilikuwa siijaiona,....khaaaaaaa? ha ha ha....
hii kweli ni mwisho wa reli.
 
Mabadiliko yoyote yanayo mhusisha MUNGU huwa ni endelevu, kama mtu ameamua kwa dhati ya moyo wake kuacha hizo tabia za ujambazi, uchangudoa na akawa na hofu ya Mungu na kuwa mcha Mungu then it is possible kucommit nae, because with God all things are possible. ukimchunguza sana bata kuwezi kumla nyama, past ya mtu ni muhimu but maisha yake ya wakati unapokutana nae ndio muhimu zaidi, after all we are just human tuna weakness kibao
 
Ref: Jasiri haachi asili, kaniki ndio rangi yake, wa moja havai mbili au wa mbili havai moja. Nadhani nimesomeka
 
Ref: Jasiri haachi asili, kaniki ndio rangi yake, wa moja havai mbili au wa mbili havai moja. Nadhani nimesomeka

aaaah bana.....mlevi hawezi 'kusilimu?' ....nadhani inategemea maamuzi tu yakhe..
..si waufahamu msemo '...akikua ataacha' au ni hadithi za kijiweni tu?
 
Swali zuri sana hili

Pia waweza kuuliza hivi..Kama alichagua kuyafanya kwa hiari yake...bila kulazimishwa na kiumbe yeyote au mazingira....kwa nini ayaache?[/QUOTE]

Well said DC, Kama alichagua kwa hiari yake sio rahisi kuacha

Ila kuna watu mi nimewaona kabisa walikua malaya kutokana na mazingira yaani mtu ana matatizo mpaka anaamua kufanya umalaya, na hawa wanabadilika mambo yakienda vyema. Lakini kuna mwingine anamaisha mazuri tu lakini ni malaya huyu kwa kweli sidhani anaweza kubadilika. So kabla ya kua na uhusiano na mtu wa aina hii ni lazima ujue ni mazingira gani yalimpelekea akawa hivyo alivyo.

Kwa majambazi kwa kweli sijui ila nadhani hawa hawezi badili tabia.
 
Kwa sababu umeuliza swali moja nami nitalijibu hilo hilo,watu wanabadilika kabisa!
 
Wapendwa
Nawaamkua!!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.

Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?

Naamini kuna watu wanakua na tabia fulani kwa sababu hizi:
  1. Mapito ya maisha....tabia ambazo sio zake ila z kupewa na ulimwengu....shida n.k
  2. Tabia za ndani ya mtu....sio zile za kupewa na ulimwengu....
Kwa sababu ya kwanza mtu anaweza kubadlika (kama vile vilivyomfanya awe na tabia hizo vikiondoka), ila sababu ya pili hapana....hawezi kubadilika.
 
Naamini kuna watu wanakua na tabia fulani kwa sababu hizi:
  1. Mapito ya maisha....tabia ambazo sio zake ila z kupewa na ulimwengu....shida n.k
  2. Tabia za ndani ya mtu....sio zile za kupewa na ulimwengu....
Kwa sababu ya kwanza mtu anaweza kubadlika (kama vile vilivyomfanya awe na tabia hizo vikiondoka), ila sababu ya pili hapana....hawezi kubadilika.
RR aksante kwa ufafanuzi huu Babu yabgu lakini hebu njuze mara ya mwisho kuandika post ndefu namna hii ni lini?
 
  • Thanks
Reactions: RR

Similar Discussions

Back
Top Bottom