Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 100
Inategemea na mtu mwenyewe, kama alikuwa anafanya hizo tabia kwa malengo fulani siku malengo yatakapotimia anaweza kubadilika, mf kama binti alikuwa anafanya ukahaba kwa ajili ya dhiki, siku atakapoolewa na mtu mwenye kumwezesha anaweza kutulia
bt kama mtu alikuwa anafanya kwa ajili ya starehe kuacha itakuwa ndoto za alinacha.
bt kama mtu alikuwa anafanya kwa ajili ya starehe kuacha itakuwa ndoto za alinacha.