MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #41
Mjukuu wangu Hao majambazi wa nini tena?
Ngoja nitafakari kidogo!
Hahahahahhhh Babu penzi halina macho lol, popote lachanua LOL
Okay babu nimekuelewa hapa lol................hapana Mbu wangu si jambazi wala kibaka. Shaka ondoaMi namjua mbaba mmoja hivi alimuoa baamedi aliyekuwa anagawa kama pipi. Huwezi amini alivyobadilika. Hii ishu bana huwezi kupata jibu la moja kwa moja manake inategemea n'tu na n'tu...Ila kuwa safe zaidi.........Usiijaribu sumu kwa kuionja.
BTW ndo kusema nijiandae kukamata mahari ya Jambazi?
Chunga tamaa mbaya.
Inategemea, hizo tabia mbaya anazifanya kwa kulazimika au kwa kuchagua?
- Kama anafanya kwa kukosa machaguo, akipata machaguo, anaweza kuchagua kuacha!
- Kama amechagua hayo maisha, uwezekano wa kuacha ni next to impossible
Aksante kaunga.......lakini kama amechagua kuyafanya si anauwezo wa kuchagua kuyaacha au?