Mabagala
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,477
- 325
akishaanza hizo habari tu nakuwa off, hanioni tena. dizaini ya wanawake kama hao hata ukimwambia subiri kwanza mambo si mazuri hakuelewi. kwangu mimi hata tusingefika miezi sita. raha ya kuhonga utoe mwenyewe willingly kwa moyo mkunjufu, toa kama unavyotoa sadaka kanisani, si kuomba. subiri nikupe mwenyewe sio uniombe, tena unakuta anaomba kama deni, utafikiri anakudai