big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 398
- 1,059
Samahanini kwa kutowasalimia
Yani ipo hivi yani hiki kitu kina nitokea sana kwa upande wangu,,,ni hali ambayo nakutana nayo sana unakuta binti niliempenda leo kutoka moyoni baada ya miaka kadhaa et nakuwa simpendi tena kama mwanzo na upendo unapungua kwa asilimia kubwa,,sio kwamba nilimtamani laasha na simaanisha mimi ni player hapana,,na kwamba hata sometimes sio kwamba mpaka niingie nae kwenye mahusiano hapana hata kwa kumpenda tu bila kupata nafasi ya kumweleza,,,
Yani sometimes unakuta kuna mwanamke ambae nimemtongoza kwa wataki huo alafu labda akanikataa lakini mimi nimempenda sana na nasema nikipata nafasi kuwa nae huyu moja kwa moja ni ndoa lakin bahati mbaya hakupi hiyo nafasi sasa tunapoteana baada ya miaka,,nikikutana nae yani moyoni huwa najiuliza daah hivi ni mimi nilikuwa silali kisa huyu mwanamke mbona saa hizi hata simpendi hata namba yake sichukui,,,na moyoni nasemaga ni bora hakunikubali maana ningemweka ndani kipindi kile saa hzi sijui ingekuwaje maana moyoni hayupo tena.
Upande wa ma ex yani (baadhi yao tume follow each other kwenye social media) mpaka nasema hadi hivi huyu nilimpenda kinoma kipindi kile saa hzi mbona hata moyoni hayupo kabisa wakati kipindi kile alikuwa ananikosesha usingizi huyu (karibia wote imenitokea hivyo)
Upande wa ma superstars/celebrities yan kuna ma star ambao kipindi hicho nilikuwa nasema huyu mimi Mungu akitenda muujiza nimekuwa nae daaah sitalala siku hiyo,nahisi nitazilahi walahi ila sasa miaka zinavyozidi kwenda unakuta et hadi najishangaa kuwa mimi ndio nilikuwa namuwazia hivyo huyu binti mfano mzuri WEMA SEPETU,JACKLINI WOLPER HATA ZARI THE BOSS LADY yani saa hzi nawaona wa kawaida sana bora hata madem wa kitaa hapa
Schoolmates unakuta kipindi niko shule hadi chuo kuna wanawake nilikuwa nasema badi hii pisi no konyo yani nikipata bahati nahizalisha fasta tuweke parmanent bond lakini inakuwa hata salamu tu kutoka kwake ni shida lakini saa hizi nikitutana nao nawaona wakawaida mno hadi hanishtui hata sijui kwanini
Sasa sijajua hii hali ni kutokana na nini au labda ni mambo ya ujana na vijana wezangu mnapitia kama ninvyipitia mimi (sipo peke yangu au sijui nifanye nini hii hali ipungue)
Ila kuna binti mmoja tu ambae nilimpenda sana ila alinizinguaga miaka mingi sana na kwasasa ameshaolewa yule tulikutana mara moja miaka ya karibuni ndio bado upendo uliwepo kwa asilimia fulani za kutosha tu ila wengi inakuwa hivyo jaman sijui kwanini
Uzi tayari
Yani ipo hivi yani hiki kitu kina nitokea sana kwa upande wangu,,,ni hali ambayo nakutana nayo sana unakuta binti niliempenda leo kutoka moyoni baada ya miaka kadhaa et nakuwa simpendi tena kama mwanzo na upendo unapungua kwa asilimia kubwa,,sio kwamba nilimtamani laasha na simaanisha mimi ni player hapana,,na kwamba hata sometimes sio kwamba mpaka niingie nae kwenye mahusiano hapana hata kwa kumpenda tu bila kupata nafasi ya kumweleza,,,
Yani sometimes unakuta kuna mwanamke ambae nimemtongoza kwa wataki huo alafu labda akanikataa lakini mimi nimempenda sana na nasema nikipata nafasi kuwa nae huyu moja kwa moja ni ndoa lakin bahati mbaya hakupi hiyo nafasi sasa tunapoteana baada ya miaka,,nikikutana nae yani moyoni huwa najiuliza daah hivi ni mimi nilikuwa silali kisa huyu mwanamke mbona saa hizi hata simpendi hata namba yake sichukui,,,na moyoni nasemaga ni bora hakunikubali maana ningemweka ndani kipindi kile saa hzi sijui ingekuwaje maana moyoni hayupo tena.
Upande wa ma ex yani (baadhi yao tume follow each other kwenye social media) mpaka nasema hadi hivi huyu nilimpenda kinoma kipindi kile saa hzi mbona hata moyoni hayupo kabisa wakati kipindi kile alikuwa ananikosesha usingizi huyu (karibia wote imenitokea hivyo)
Upande wa ma superstars/celebrities yan kuna ma star ambao kipindi hicho nilikuwa nasema huyu mimi Mungu akitenda muujiza nimekuwa nae daaah sitalala siku hiyo,nahisi nitazilahi walahi ila sasa miaka zinavyozidi kwenda unakuta et hadi najishangaa kuwa mimi ndio nilikuwa namuwazia hivyo huyu binti mfano mzuri WEMA SEPETU,JACKLINI WOLPER HATA ZARI THE BOSS LADY yani saa hzi nawaona wa kawaida sana bora hata madem wa kitaa hapa
Schoolmates unakuta kipindi niko shule hadi chuo kuna wanawake nilikuwa nasema badi hii pisi no konyo yani nikipata bahati nahizalisha fasta tuweke parmanent bond lakini inakuwa hata salamu tu kutoka kwake ni shida lakini saa hizi nikitutana nao nawaona wakawaida mno hadi hanishtui hata sijui kwanini
Sasa sijajua hii hali ni kutokana na nini au labda ni mambo ya ujana na vijana wezangu mnapitia kama ninvyipitia mimi (sipo peke yangu au sijui nifanye nini hii hali ipungue)
Ila kuna binti mmoja tu ambae nilimpenda sana ila alinizinguaga miaka mingi sana na kwasasa ameshaolewa yule tulikutana mara moja miaka ya karibuni ndio bado upendo uliwepo kwa asilimia fulani za kutosha tu ila wengi inakuwa hivyo jaman sijui kwanini
Uzi tayari