NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Dalili za kujilipua hizo!
Si kweli mkubwa, nimesikia RWANDA inawajali sana wafanyakazi na inawalipa vizuri na kutoa maslahi muhimu kwao. Kuna watu kibao wanatimkia huko jaribu na wewe acha kukaa huko Zanzibar.