Mgomo wa wafanyakazi wasitishwa kwa muda

Unajua nchi hii inaenda kombo mtu anapodai maslahi yake ukitumia ubabe huwa ina hasara kubwa kuliko maelezo. Ebu ndugu zangu tuone mgomo baridi wa walimu unaoendeleaa una mazara makubwa lakini watu wa juu thye dont care. Sasa na huu wa wafanyakazi jamaa kaja mkali sawa saasa ataona utendaji utakavyokuwa. Motivation and work relationship is very crucial. Harafu nasikia jana nyumba ya mh=gaya ilizingirwa asitoke kuna mtu alinipigia simu na waandishi nasikia wametishiwa baadhi kuhusu kumpigia simu mgaya jana na kuuliza msimamo wake. sina hakika ila kuna mtu aliniambia ambaye nina hakika naye. sasa ndo muone wana nje.
 
Ukienda kazini ukaonekana unaumwa na kazi hazifanyiki tutajua ni dalili za mgomo, tutafukuza tu. Hahhaaaaaaaa. Ukichelewa kwa ajili ya foleni zilizosababishwa na ujio wa wageni wa mkutano wa uchumi tutajua tayari umeanza mgomo. Na ole wako gari likuzimikie kwenye dimbwi la maji, huo ndio mgomo hasa maana kazini hautafika. We are serious
 
Si kweli mkubwa, nimesikia RWANDA inawajali sana wafanyakazi na inawalipa vizuri na kutoa maslahi muhimu kwao. Kuna watu kibao wanatimkia huko jaribu na wewe acha kukaa huko Zanzibar.

Naona kuna dalili za wasomi wengi kutimka nchini hakuna motisha
 
I think the President could have done better. His speech was full of contempt, abusive language and cynicism and to make matters worse he tried to manipulate the whole TUCTA mgomo as politically motivated na kusema msinichague basi! Poor workers will have to eat their ample pie.
 
-- Kikwete, WEF na TUCTAMIMI nilidhania kwamba Mheshimiwa angeliwaita wataalamu wa mambo ya uchumi, ajira,haki za wafanyakazi ili afanye nao mjadala.Kwanza, nianze na hili la barabara kufungwa kwa siku nne-maana radhi iliyoomba siyoya dhati. Ingelikuwa ya dhati basi waliohusika na mpango huu wangelihakikisha kwamba barabara za nyuma ya barabara kuu ya Ali Hassan Mwinyi, zile zinazopita katikati yaSinza, Buguruni, Magomeni, Ilala, Keko na kadhalika zinaandaliwa kuwezesha magarikupita huko. Hilo, halikufanyika na wakati barabara ya Ilala-Buguruni imeachiwaKUOZA eti tunaambiwa tuvumilie!Kwa kuwaleta walaji wenzao wa nje wanachutuonesha jamaa hawa ni kuwa sasa wanaanza kuumbuana maana watapita barabara ipi hapa Dar bila kuumia au kudhurika kutokana na barabara mbovu, njia za wapiti kwa miguu zisizoheshimiwa na magari, mashimo barabarani. Lakini wakipata madhara pengine ndio itakuwa nafuu yetu au sio????
Huu ugonjwa wa kutaka kila kitu kifanyike katikati ya jiji wakati tunateseka kiasihiki au mkuu hajui......kuwa tunateseka kwa foleni sio chini ya masaa 4 kwa sikukwenda na kurudi kazini.... unasababishwa na nini.....au mnataka mpaka mfukuzwe mkahamie Dodma. Ingelikuwa Brazili mkutano huuungelifanyika Brasilio sio Rio; ingelikuwa Nigeria ingelikuwa Abuja sioLagos.....vipi sisi tuna matatizo gani jamani??? Kwanini hamtaki kuiacha Dar nawakazi wake salama....mhamie kwenu Dodoma au mmeshakula fedha na hamna kitu? Na mtuasikudanganye jamaa atamaliza tena miaka yake mitano na Dodoma itamaktaimu tu!!!sasa hili la kuwageuza viongozi wa wafanyakazi wasaliti siwasemei wenyewe ila natoamsimamo wangu maana naamini wanayo ya kujibu tena mengi tu.Lakini karudia kule kule kwa Nyerere na chama kimoja kwa mfano wa Animal Farm nakiongozi wao Bw. au nguruwe Napoleon ambaye aliwageuza kondoo kuwa mijitu ya kupigabah bah bah bah kila hoja isiyompendeza kiongozi huyo.Audience yenyewe labda kama macho yanguyalinidanganya ilikuwa ya wakereketwawanawake wa CCM na watu wasio na kazi na wapiga debe wa CCM na wazee halisi wasiojuakupinga hoja yoyote dhidi ya serikali.Baya zaidi ni kuwa kiongozi huyu kaenda njia ya Mfalme Daudi-sijui kwa kuwaanamiliki TV na Redio ya Taifa kuhukumu viongozi wa wafanyakazi bila ya viongozihao kupewa nafasi ya kujitetea. Kwa kuwa Daudi alikuwa na mwanawe Selemani basi ovuhilo lilifutwa baada ya masaa machache.Kwa kuwa ni mkuu basi wafanyakazi kwa vitisho vilivyotolewa na kondoo kushangiliabasi wametishika na watafyata mkia. Maana wanajua fika kwamba mkuu Napoleon baadaya kuwapa kazi ya kuwazomea wapinzani wake alifuga vitoto vya mbwa hadi yakawamajibwa na kazi yao ilikuwa moja. Sote tunaijua. Isije ikawa hivyo kwa awamu ya nne,sehemu ya pili.Lakini mkuu huyo alichofanikiwa kukifanya ni kudhihirisha kuwa Tanzania hiii:-siasa za kuwatumia wajinga kutunga hoja ya kuwasulubu raia wengine bado zinaendelea;-viongozi wetu wanawapenda wafanyakazi kwa maneno sio kwa vitendo;-inaongozwa kwa vitisho vya wanasiasa wa CCM;-kama nchi, kama taifa halijakuwa na linaendeshwa kitoto na kiushabiki kamakushabikia mpira au vilabu visivyo na lolote la kutuonesha;-fisadi, wezi wa mali ya umma, masurufu makubwa ya kusafiri nje kwa viongozi wachama na serikali, wizi wa fedha za nchi unaofanywa na CCM na ufujaji fedha wa ovyohautakaa udhibitiwe na atakayeadhibiwa siku zote atakuwa mfanyakazi;-Laiti kama Barrick na shangazi zao wasingelikuwa wanachimba dhahabu sawa na buremapato ya Tanzania yana uwezo wa kufikia bilioni 10;-laiti mawaziri, wabunge na viongozi wengine Tanzania wangeacha kununuliwa magari yamilioni 200 kwa gari na kunywa petroli ya milioni 200 au zaidi kwa mwaka fedha yanyongeza ingelikosekana;-Kama NSSF isingekuwa inaliwa na wakubwa fedha ingelikosekana?-Kama maamuzi mabovu ya kuwauzia wachovu mashirika yetu yasingefanyika pato laTanzania lisingelikuwa bilioni 20?-Kama TANESCO ingeweka umeme nchini kote ingelikosa bilioni 10 tofauti na hivi leoinakula vya serikali na wafadhlli na viongozi wameshindwa kuigeuza?-Kama TTCL ingelifanya kazi kama Vodacom au Tiggo tungelkuwa na njaa ya kuwalipawafanyakazi mshahara?-Kama TRL na TAZARA zingelikuwa reli zinazofanya kazi kikweli kweli tungelikosamishahara mizuri?-Kama Zanzibar ingelisaidiwa iwe kama Dubai tungelikuwa masikini hivi?-Kama mabenki na wafanyakazi wao wasingekuwa wanatuibia wananchi wengine hali yetuingelikuwa hivcxvvvfffi?-Kama wananchi wangeliruhusiwa kuuza wanacholima nchi za nje baada ya kutoshelezanyumbani mambo yangelikuwa hivi?-Kama marafiki wa CCM wenye nyumba zinazotoza kodi ya dola 3,000 kwa mwezi wangelipakodi kweli tungelikuwa hivi?-Kama Kanisa Katoliki lisingelikuwa linapewa sehemu ya fedha za msaada tungelikuwahapa kweli?-Kama serikali isingelitumia mabilioni kuendesha redio na televisheni wakati wapowatu binafsi wanaoweza kuendesha redio na televisheni bila kuchota fedha ya wananchimabilioni ambayo yangeliokolewa yasingetupa mshahara mzuri zaidi?-Kama serikali ikiacha kuendesha magazeti ya kuipigia debe ni bilioni ngapizingeliokolewa. Hivi hii sio ndio serikali inayozungumzia kuachia sekta binafsiiendeshe uchumi au ni nyingine?-Kama hospitali zetu zingeliboreshwa kiasi cha kutibu watu wetu hapa hapa nchini napengine kuja wagonjwa toka nje ni mabilioni ngapi yangeliingia?-Na suala si mshahara tu pamoja ya maudhi ya sisi wafanyakazi kufananishwa namabaameidi na mahausgeli haidhuru waheshimiwa hali yetu ya kimaisha na hususanusafiri na hali ya makazi, tiba na gharama za elimu havishikiki!!! Mmeshindwakutupatia nyumba za bei nafuu, mmeshindwa kutupatia usafiri usiokuwa naudhalilishaji; mmeshindwa kuwapatia vijana wetu wanaomaliza shule ajira; mmeshindwakuwakomboa wazazi wetu wakulima vijijini maana fedha yote mnawapa wale wanaowapigiadebe ikiwemo hao wanaoitwa wazee wa uongo na kweli!!Viongozi wetu sio wataalamu wa Kiuchumi basi tunaomba Profesa Samweli Wangwe,Ibrahim Lipumba, Mtatifikolo na wengineo wapewe kazi ya kcuchambua madai yawafanyakazi KIUCHUMI na sio KISIASA!!!!Ushauri wa bure: Ikulu tafuteni watu wa kusoma hotuba za mzee kabla hajasimama mbeleya hadhara kuzitoa, maana Tanzania ya leo unaweza kuwadanganya wajinga fulani kwamuda, lakini huwezi kuwadanganya wadanganyika wote siku zote@!!!!
 
DAH
kwa hali nlo nayo leo n ampango mzima wa uandishi wako......mmh!!

am tired!!!
 
Alafu mnasema mna president!!!!!!!!!!! Hamna kitu hapo, kaka yake Mzee Yusuph huyo, mipasho ndio dili.

Yaani Rais alisimama akamwaga radhi ,watu wamekua wapole namna hiyo?

Kweli Tanzania watu ni wabinafsi,kwa hali hii hata CCM wataendelea kujikita madarakani.Huku ni kujidhalilisha,poor us.Wanamapinduzi tuko wapi?Hivi kweli hakuna watu wenye uzoefu na migomo ktk kulazimisha maslahi yao yatiliwe maanani?Yaani vitisho alivyotoa JK vinafanana na vitisho alivyokuwa anatutolea Headmaster wa shule moja,lakini tuligangamana mpaka tukapata haki yetu na kukomesha udikteta wa kishenzi kwenye ile shule. Ati FFU watawapiga mkigoma?Kivipi yaani?

Yaani Jinsi Rais alivyoongea jana bila busara,anaweza kubadilisha misimao ya watu wenye busara?
 
Wanachodai tucta na uongozi wake ni sahihi kabisa. hata kama pesa imeongezwa, jamani Tsh 104,000 kwa mwezi? Kwa nini alaumiwe mpokea rushwa wakati twaona ni kiasi gani anapokea huyu mvuja jasho???

Ila kwa waandishi.... sijaridhika na baadhi ya uandishi wao. Wanatakiwa kunyooshwa hao wanaoandika ilimradi tu wamendika.
 
Ama kweli nimeamin sasa Mitanzania minafiki...leo wote humu jamvini wamekuwa kama kurumbizi, na bado mtazidi kufa vifo vingi kabla ya vifo vyenu kwa woga wenu. Heko rais Kikwete walisema huwezi kufanya maamuzi magumu, jana ume "beep" tu wamepiga wenyewe...! Kidumu chama chako huko huko bara...!
 
Ama kweli nimeamin sasa Mitanzania minafiki...leo wote humu jamvini wamekuwa kama kurumbizi, na bado mtazidi kufa vifo vingi kabla ya vifo vyenu kwa woga wenu. Heko rais Kikwete walisema huwezi kufanya maamuzi magumu, jana ume "beep" tu wamepiga wenyewe...! Kidumu chama chako huko huko bara...!

tunataka maamuzi magumu ya kukabiliana na mafisadi lakini siyo maamuzi rahisi kama ya jana!!
 
Ama kweli nimeamin sasa Mitanzania minafiki...leo wote humu jamvini wamekuwa kama kurumbizi, na bado mtazidi kufa vifo vingi kabla ya vifo vyenu kwa woga wenu. Heko rais Kikwete walisema huwezi kufanya maamuzi magumu, jana ume "beep" tu wamepiga wenyewe...! Kidumu chama chako huko huko bara...!

What should i call you?.....

Yaani wewe unafikiria upside down mkuu,yaani watu wanataka Rais achukue maamuzi magumu kupambana na mafisadi lakiniu unamsifia kwa kuchukua uamuzi mgumu kupambana na Raia wasio na hatia?tena wanaodai haki yao?

Try to be human!
 
Rais wa nchi yetu angekuwa na uchungu na Taifa hili angetumia ukali na makeke kama yale kukemea ufisadi na kurudisha fedha za EPA, kupunguza safari zake za nje akatumia teleconfrerncing, kuhakiki kodi wanazolipa wazekezaji (au wachukuaji) badala ya kukemea wafanyakazi na kuwatishia maisha (uhai).
Mishahara, marupurupu, ufisadi n.k, vya wanasiasa na baadhi ya watumishi wa serikali ya sisi-emu ndio vinatafuna pato la Taifa hili! No wnder hajui kwa nini nchi yetu ni maskini
 
Eti kama mnataka kuninyima kura ninyimeni tu! Maskini wafanyakazi – mmeshiriki mara nyingi kuwaweka madarakani (tena wakati mwingine kwa mbinu chafu) sasa wameshika mpini wanawaringia, mmekuwa kama "takataka', hamna thamani tena kwao na hawawahitaji! Poleni sana –sikutegemea maneno haya yatoke kinywani mwa Rais
 
Mgaya Hongera sana, mabadiliko hata uhuru uliletwa na watu wachache, umeshindwa lakini umejaribu, ujumbe umefika. Jipe moyo Kazi ni nzuri.

Japo si mfanyakazi wa sirikali hotuba ya jana iliniudhi sana na sikuweza kuisikiliza hasa kwa sababu haikuangalia madai halali anazidi kulilinda tabaka liloshika mpni.

Mhutubiaji ni mtumishi nambari wani na aliyepewa dhamana ya kuajiri wote serikalini, lakini alitumia nafasi ya dhamana badala ya ile ya utumishi. alilinda tabaka la watawala na wanasiasa ambao hawaguswi na umaskini wetu. Angalieni historia, TFL ilivunjwa baada ya kuishawishi jeshi mwaka 1964 na kuundwa NUTA, uwiano wa malipo japo usiojali ulikuwepo, watanzania wanataka huo uwiano na si vinginevyo.

Huu ni mfumo wa matabaka ya wafanyakazi aliotuundia Ben, tusubiri tutaenda wapi. madaktari walianza wauguzi wakawaunga mkono toka Muhimbili na zinginezo lakini walitekelezewa baada ya mkwara. Watawala hulipwa cha juu. Je unajua mshahara wa mkuu wa idara acha mbali wa kimkoa na kitaifa? Waraka umekuzuia ukitangaza utaishia lipango

Ni vema pia ijulikane kuwa hatuna wawakilishi wa kuwasemea wafanyakazi na wakulima hawapo, wabunge wameongezewa kiasi gani tangu Dr Slaa alalamike?

Saduku la kura inatakiwa izindikwe ituletee wawakilishi wa kutufaa.

Mungu ibariki Tanzania
 
Akawamwage FFU wake kwa RA, EL et al na kwame hatasikia wadanganyika wakilalamika. Iweje hela ziwepo kwa kuongeza mishahara ya wabunge, kununua magari ya kifahari, kugharamia safari za Salma zinazoambatana na misururu mirefu ya magari ya kifahari mikoani, kugharamia safari zake mwenyewe zenye mbwembwe za misururu mirefu ya magari ndani na nje ya nchi zisiwepo kwenye nyongeza ya kima cha chini kwa miaka nenda miaka rudi!

Kama kuna lolote la maana alilolifanya jana ni kutoa mweleko wa utawala wake baada ya uchaguzi mkuu Octoba mwaka huu. Hata hadhara aliyoongea nayo inaonyesha kuwa siyo ya wafanyakazi ndiyo maana ilikuwa ikimshangilia kama kasuku. Atajibuje malalamiko ya wafanyakazi kwa kuongea na wastaafu kama sio uoga, isitoshe anamshambulia mtu binafsi kwa hoja za wafanyakazi wengi! Matope tu.....
 
Rais wa nchi yetu angekuwa na uchungu na Taifa hili angetumia ukali na makeke kama yale kukemea ufisadi na kurudisha fedha za EPA, kupunguza safari zake za nje akatumia teleconfrerncing, kuhakiki kodi wanazolipa wazekezaji (au wachukuaji) badala ya kukemea wafanyakazi na kuwatishia maisha (uhai).
Mishahara, marupurupu, ufisadi n.k, vya wanasiasa na baadhi ya watumishi wa serikali ya sisi-emu ndio vinatafuna pato la Taifa hili! No wnder hajui kwa nini nchi yetu ni maskini


Need I say more...?
 
Wenye nchi ni watanzania.kwanza JK naye alivokua anajigamba jana kwamba yeye ndiye muajiri wao mkuu..alisahau kuwa yeye ndiye aliyeajiriwa na wananchi.Huu ni udikteta wa aina yake,jamaa aliyeingia in power na 80% anaongea kama vile,kweli Demokrasia ni haramu Afrika.

Tena Rais aliwatukana wale wazee wa jana ila kwa kuwa nao ni fuata upepo walikuwa tu wanacheka cheka ovyo..wazee wale wanatuharibia taifa na future huku wakijua kuwa hawatakuwemo na hawajui watendalo anyways

Nilishawaambia Tanzania
Ina tatizo na tatizo ni watanzania wengi wenye umri wa miaka kuanzia hamsini kwenda juu. Ila huwa mnaniita mbaguzi wa wazee. teh teh teh.

Kaajali kama ka Poland kanaweza tupunguzia kidogo hawa wazee, katokee kama mara tatu hivi
 
Kwa kauli za JK, inaonesha kuna msukumo toka nje unaowafanya wafanyakazi wagome, sijui ni homa ya wapinzani wa CCM au vipi.

Tunahitaji mecenaries au hesabu tu kueleza kima cha chini cha sasa hakikidhi mahitaji ya familia yenye wastani wa watu sita?


 
Back
Top Bottom