Mzee Mwanakijiji,
Mkuu labda bado hujanielewa...
Nachosema mimi kwa nini wewe unafikiria kile kinachowezekana kutokea wakati mambo haya ya kuua albimo na vibaka yanatokea hadi hivi sasa tunapoongea yasipewe umuhimu zaidi!..
Na n8imekwambia huko nyuma wewe fikiria hizo picha ni Albino ambaye anapigwa hivyo na kisha wanamkata viungo vyake,,, fFikiria huyo jamaa anayeuawa kwa sababu kaiba mbuzi iwe somo la kuanziwa ikiwa kweli unaitafuta haki..
Watu wa kwamza kabisa kuwauliza ni Usalama kisha waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu, bunge na hata rais wetu kwa matukioa kama haya kwa nini serikali inashiondwa kuwalinda wananchi wake..
Kama sheria itaweza kusimama ndio mwisho wa yote haya na hata kauli ya Pinda haiwezi kuwa na maana yoyote...Na kutokkana na imani za mazingara yetu huwezi kunambia kitu ikiwa ndugu yangu Albino ameuawa kwa sababu ya imani za kichawi... na siwezi kuona malipo ya haki zaidi ya wewe pia kuawa..
Lets' stop the killings kwanza mkuu wangu haya ya Pinda wakati ni serikali nzima inashindwa kazi... nadhani ndio yanaturudisha sana nyuma... Tuombe vitendo na kuwajibika kwa serikali badala ya kufikiria sana nini kimesemwa..Apology inaweza kupokewa lakini sidhani kama kuna mtu anaweza kuelewa kwa nini Albino wanauawa!
Sioni furaha yeyote katika kuangalia picha hiyo bali kitisho ya nini kinawezekana. Hebu fikiria kama huyo mtu hapo angekuwa anadaiwa kuwa ni muuaji wa albino na wananchi wamemkamata na kumpa kibano? Kwa wengine hilo "anastahili" but what if people are wrong!?[/
Mkuu labda bado hujanielewa...
Nachosema mimi kwa nini wewe unafikiria kile kinachowezekana kutokea wakati mambo haya ya kuua albimo na vibaka yanatokea hadi hivi sasa tunapoongea yasipewe umuhimu zaidi!..
Na n8imekwambia huko nyuma wewe fikiria hizo picha ni Albino ambaye anapigwa hivyo na kisha wanamkata viungo vyake,,, fFikiria huyo jamaa anayeuawa kwa sababu kaiba mbuzi iwe somo la kuanziwa ikiwa kweli unaitafuta haki..
Watu wa kwamza kabisa kuwauliza ni Usalama kisha waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu, bunge na hata rais wetu kwa matukioa kama haya kwa nini serikali inashiondwa kuwalinda wananchi wake..
Kama sheria itaweza kusimama ndio mwisho wa yote haya na hata kauli ya Pinda haiwezi kuwa na maana yoyote...Na kutokkana na imani za mazingara yetu huwezi kunambia kitu ikiwa ndugu yangu Albino ameuawa kwa sababu ya imani za kichawi... na siwezi kuona malipo ya haki zaidi ya wewe pia kuawa..
Lets' stop the killings kwanza mkuu wangu haya ya Pinda wakati ni serikali nzima inashindwa kazi... nadhani ndio yanaturudisha sana nyuma... Tuombe vitendo na kuwajibika kwa serikali badala ya kufikiria sana nini kimesemwa..Apology inaweza kupokewa lakini sidhani kama kuna mtu anaweza kuelewa kwa nini Albino wanauawa!