johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Tunakumbushana tu kuwa mchakato wa Uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ndio Umeshaanza kwa Miswada ya marekebisho ya sheria za Uchaguzi kupelekwa bungeni
Hivyo basi agizo la Rais Samia kwa JWTZ kuhusu kusimamia Usalama kuelekea Uchaguzi utekelezaji wake unaendana na mchakato wote wa Uchaguzi hadi viongozi watakapoapishwa
Yawezekana Mwenyekiti wa Chadema alitangaza kukubaliwa maandamano kabla Rais hajakutana na Makamanda wa Vikosi vya JWTZ leo
Ni hilo tu
Mlale Unono !
Hivyo basi agizo la Rais Samia kwa JWTZ kuhusu kusimamia Usalama kuelekea Uchaguzi utekelezaji wake unaendana na mchakato wote wa Uchaguzi hadi viongozi watakapoapishwa
Yawezekana Mwenyekiti wa Chadema alitangaza kukubaliwa maandamano kabla Rais hajakutana na Makamanda wa Vikosi vya JWTZ leo
Ni hilo tu
Mlale Unono !