Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Miye nilishamshtukia siku nyingiiiii kwamba fani ya uandishi si fani yake kakurupuka na kuivamia tu lakini hana uwezo nayo kabisa maana huishia kujikanyagakanyaga tu na msomaji kushindwa kabisa kuelewa alikuwa anataka kusema nini.
Kuna kipindi aliandika makala kuwalaumu TTCL na gharama za mtandao, yes gharama za mtandao ziko juu Tz, lakini upupu na uwongo alioandika, ningekuwa mwanasheria wa TTCL ningepeleka hii kitu mahakamani mara moja.