Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,600
- 19,507
Badilika kaka acha kuandika ujinga
Umenena. Just like you, I am also addicted to stupidity.
Badilika kaka acha kuandika ujinga
Maggid!!
Najua na ninaamini hizi habari za huu mdahalo ulishaziona hapa JF siku nne kabla.
Set up yake ilijulikana Tangu Mwanzo, Kwanini hukukosoa Set up yake kabla ya Mdahalo wenyewe.
Umekosa La kukukosoa Katika yale aliyoyaongea Slaa ukaamua Kukosoa Set up ya ule mdahalo.
But nashukuru Nimejua wewe ni m2 wa aina Gani. Hongera sana, nimeona kule kwenye Kablogu kako kuwa jana Kikwete alikupungia mkono Pale Mikumi. I really dont think wheather this is such an important information.
Maggid,
Good observation! Ki-ukweli kuita kile kilichofanyika jana mdahalo ni misnomer - haukuwa mdahalo. Sifahamu sababu za lipumba kutokuwepo lakini hata kama angekuwepo value added isingekuwa worth the effort. Iko wazi kuwa mpambano wa uraisi sasa umebaki kuwa wa watu wawili Dr. Slaa na Raisi Kikwete na kwa kuwa kikwete kapigwa marufuku na makamba kushiriki midahalo hakukuwa na uwezekano wa kumpata so waandaaji wakaamua kufanya walichokifanya. Unaweza ukawa unaamini kuwa Kina Dovutwa na mzee Rungwe pia walitakiwa washirikishwe, I beg to differ. Mimi naamini ubora wa mdahalo unapimwa na uwezo wake wa ku-influence outcome ya election na sio idadi ya washiriki. Nimalizie kwa kusisitiza kuwa mdahalo ambao utaamua mshindi wa uraisi ungekuwa kati ya kikwete na slaa; we both know that that debate will never be held!!!!
Asante.
denis_79tz.
Maggid ngoja nikusaidie.....
Mdahalo ule uliandaliwa na VOIX Media wakishirikiana na TCMB na kufadhiliwa na Civil Society Foundation...
Nakupa zoezi utafute who is VOIX Media....
Ndugu Zangu,
Jana tumesikiliza mdahalo, au labda mazungumzo au mahojiano kati ya Dr Slaa ( CHADEMA) na Rosemary Mwakitwange. Mahojiano yaliyoruhusu wengine kuchangia kwa njia ya simu pia.
Tunawapongeza walioshiriki kufanya jitihada zile. Ilitoa fursa kwa sisi wapiga kura kumsikiliza Dr Slaa. Hata hivyo, pungufu kubwa kabisa lililoonekana ni namna waandaaji walivyoandaa mdahalo wa upande mmoja bila kuwashirikisha wagombea wengine wa Urais waliopitishwa na NEC. Maana, ni vema pia tukatofautisha maana ya mdahalo na mahojiano. Kama yale ya jana yalikuwa ni mahojiano tu, hakuna tatizo kwa mgombea mmoja tu kuhojiwa. Lakini kama unaitwa mdahalo, basi, tujadili maana ya mdahalo.
Kama ni mdahalo, basi, ingekuwa ni vema na busara kwa wagombea wengine wa Urais kushiriki. Bila shaka, wagombea wengine nao wana haki za msingi za kupewa nafasi ya kuelezea sera zao na kujibu maswali ya wapiga kura. Hata kama chama tawala, CCM kimeweka wazi kuwa mgombea wao hatashiriki mdahalo, lakini hatujasikia vyama vingine vitoa misimamo kama hiyo.
Wengi wetu tungependa kuona wagombea wengine wa Urais nao wakialikwa, hivyo basi, kupewa fursa ya kuelezea sera za vyama vyao na kuulizwa maswali. Kungetoa fursa ya wagombea hao kushindana kwa hoja pia. Labda kama kuna maelezo ya kuwa wagombea hao walialikwa lakini hawakuitikia mwaliko wa kwenda studioni. Au kuwa gharama za muda wa kurusha hewani mdahalo ziligharamiwa na chama cha mgombea aliyefika kwenye mdahalo/mahojiano. Kama sivyo, basi, waandaaji watakuwa hawakuwatendea haki wagombea na wapiga kura kwa ujumla wao.
Maana, tukianza sasa kujenga tabia ya kubagua wagombea itakuwa ni jambo la hatari sana. Ikumbukwe, tangu Uchaguzi Mkuu wa 1995, tulianza kujenga misingi mizuri ya wagombea kupewa fursa sawa. Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 wagombea wote wa Urais walialikwa kwenye mdahalo uliofanyika kwenye iliyokuwa Kilimanjaro Hotel. Kama inavyoonekana pichani, kulikuwa na Profesa Lipumba, Augustino Mrema, Benjamin Mkapa na Bwana Cheyo. Historia ni mwalimu mzuri. Tujifunze.
Maggid,
Iringa, Jumapili, Oktoba, 24, 2010
Whatever you call mdahalo au majadiliano. swala tunaloangalia ni vipi Dr. Slaa ameweza kufikisha ujumbe kwa ufasaha kwa wapiga kura.
Mod Peleka hii mada kwenye Jukwaa la lugha, maana kumbe tunataka kujua ni nini mahojiano na ni nini mdahalo, kule kwenye Jukwaa la Lugha ndo kuna wataalamu wa Kiswahili haswaa. hii issue siyo ya kisiasa itakaaje kwenye jukwaa la siasa?
All in all sisi kama wapiganaji tusha jua nani ni mshindani wa ukweli na nani ni mvurugani wa wengine wakati Chadema inapigania kuikomboa Tanzania CUF na CCM lao moja baada ya muafaka wa Zanzibar walikubaliana kubebana Bara na Zanzibar ndio maana wenye akili wamesha liona hilo kazi kubwa aliyopewa Lipumba ni kupunguza kura za Upinzani ili kuipa nguvu CCM Bara.ole wenu CUF siku zenu ninahesabika kuwepo bara.u r right BUT, Dr Slaa ndie anaonekana kuwa na chance kubwa ya kuleta ukombozi. siku zimekwisha hakuna muda wa kupoteza, huu uchaguzi umesha julikana ngoma ni kikwete au Dr Slaa, sasa kama kikwete hanafyata mdahalo yanini kuleta wengine walio na 5% na siku zimebaki 6? nikukandamiza kwa Dr tuu. wagombea wengine wakauke tu time is up and they r still way behind. BIG UP ITV FOR A GREAT BROADCAST
Ndugu Zangu,
Jana tumesikiliza mdahalo, au labda mazungumzo au mahojiano kati ya Dr Slaa ( CHADEMA) na Rosemary Mwakitwange. Mahojiano yaliyoruhusu wengine kuchangia kwa njia ya simu pia.
Tunawapongeza walioshiriki kufanya jitihada zile. Ilitoa fursa kwa sisi wapiga kura kumsikiliza Dr Slaa. Hata hivyo, pungufu kubwa kabisa lililoonekana ni namna waandaaji walivyoandaa mdahalo wa upande mmoja bila kuwashirikisha wagombea wengine wa Urais waliopitishwa na NEC. Maana, ni vema pia tukatofautisha maana ya mdahalo na mahojiano. Kama yale ya jana yalikuwa ni mahojiano tu, hakuna tatizo kwa mgombea mmoja tu kuhojiwa. Lakini kama unaitwa mdahalo, basi, tujadili maana ya mdahalo.
Kama ni mdahalo, basi, ingekuwa ni vema na busara kwa wagombea wengine wa Urais kushiriki. Bila shaka, wagombea wengine nao wana haki za msingi za kupewa nafasi ya kuelezea sera zao na kujibu maswali ya wapiga kura. Hata kama chama tawala, CCM kimeweka wazi kuwa mgombea wao hatashiriki mdahalo, lakini hatujasikia vyama vingine vitoa misimamo kama hiyo.
Wengi wetu tungependa kuona wagombea wengine wa Urais nao wakialikwa, hivyo basi, kupewa fursa ya kuelezea sera za vyama vyao na kuulizwa maswali. Kungetoa fursa ya wagombea hao kushindana kwa hoja pia. Labda kama kuna maelezo ya kuwa wagombea hao walialikwa lakini hawakuitikia mwaliko wa kwenda studioni. Au kuwa gharama za muda wa kurusha hewani mdahalo ziligharamiwa na chama cha mgombea aliyefika kwenye mdahalo/mahojiano. Kama sivyo, basi, waandaaji watakuwa hawakuwatendea haki wagombea na wapiga kura kwa ujumla wao.
Maana, tukianza sasa kujenga tabia ya kubagua wagombea itakuwa ni jambo la hatari sana. Ikumbukwe, tangu Uchaguzi Mkuu wa 1995, tulianza kujenga misingi mizuri ya wagombea kupewa fursa sawa. Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 wagombea wote wa Urais walialikwa kwenye mdahalo uliofanyika kwenye iliyokuwa Kilimanjaro Hotel. Kama inavyoonekana pichani, kulikuwa na Profesa Lipumba, Augustino Mrema, Benjamin Mkapa na Bwana Cheyo. Historia ni mwalimu mzuri. Tujifunze.
dr. Slaa aliongea kama mgombea wa urais kupita chadema. Huyu kinana akiongea atakuwa mgombea kupitia chama gani vile????. Mimi sitaki kumwona kabisaa tena akome kabisaakaka majid,lakini si nimesikia kwamba wagombea wengine wataitwa pia ili kumwaga sera zao,manake ule sio mdahalo ki ukweli,lakin fursa nzuri kwa wagombea kusikika watatufanyia nini, jana mwanawane dr. Waukweli katema vitu mpaka nikawa naona muda hautoshi,acha tumsikie dr. Kinana nae atawaambia nini wananchi ikifika zamu yake.
Ndugu Zangu,
Jana tumesikiliza mdahalo, au labda mazungumzo au mahojiano kati ya Dr Slaa ( CHADEMA) na Rosemary Mwakitwange. Mahojiano yaliyoruhusu wengine kuchangia kwa njia ya simu pia.
Tunawapongeza walioshiriki kufanya jitihada zile. Ilitoa fursa kwa sisi wapiga kura kumsikiliza Dr Slaa. Hata hivyo, pungufu kubwa kabisa lililoonekana ni namna waandaaji walivyoandaa mdahalo wa upande mmoja bila kuwashirikisha wagombea wengine wa Urais waliopitishwa na NEC. Maana, ni vema pia tukatofautisha maana ya mdahalo na mahojiano. Kama yale ya jana yalikuwa ni mahojiano tu, hakuna tatizo kwa mgombea mmoja tu kuhojiwa. Lakini kama unaitwa mdahalo, basi, tujadili maana ya mdahalo.
Kama ni mdahalo, basi, ingekuwa ni vema na busara kwa wagombea wengine wa Urais kushiriki. Bila shaka, wagombea wengine nao wana haki za msingi za kupewa nafasi ya kuelezea sera zao na kujibu maswali ya wapiga kura. Hata kama chama tawala, CCM kimeweka wazi kuwa mgombea wao hatashiriki mdahalo, lakini hatujasikia vyama vingine vitoa misimamo kama hiyo.
Wengi wetu tungependa kuona wagombea wengine wa Urais nao wakialikwa, hivyo basi, kupewa fursa ya kuelezea sera za vyama vyao na kuulizwa maswali. Kungetoa fursa ya wagombea hao kushindana kwa hoja pia. Labda kama kuna maelezo ya kuwa wagombea hao walialikwa lakini hawakuitikia mwaliko wa kwenda studioni. Au kuwa gharama za muda wa kurusha hewani mdahalo ziligharamiwa na chama cha mgombea aliyefika kwenye mdahalo/mahojiano. Kama sivyo, basi, waandaaji watakuwa hawakuwatendea haki wagombea na wapiga kura kwa ujumla wao.
Maana, tukianza sasa kujenga tabia ya kubagua wagombea itakuwa ni jambo la hatari sana. Ikumbukwe, tangu Uchaguzi Mkuu wa 1995, tulianza kujenga misingi mizuri ya wagombea kupewa fursa sawa. Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 wagombea wote wa Urais walialikwa kwenye mdahalo uliofanyika kwenye iliyokuwa Kilimanjaro Hotel. Kama inavyoonekana pichani, kulikuwa na Profesa Lipumba, Augustino Mrema, Benjamin Mkapa na Bwana Cheyo. Historia ni mwalimu mzuri. Tujifunze.
Maggid,
Iringa, Jumapili, Oktoba, 24, 2010
Maggid, unaonaje sasa tuzinguzumzia kilichonenwa humo katika hayo 'mahojiano' ambayo kikwete amekataa kuhudhiria na kusababishwa usiuite mdahalo. Hivi katika mantiki ya kawaida kwa kipindi hiki, mpenda maendeleo unataka kujua kuwa ule ni mdahalo au la? Yaani fikra zako ndo ziishie hapo kweli? Kwanini sasa usianze kuzungumzia kilichosemwa?
Wkati mwengine nafika wakati wa kuamini kuwa ukileta hoja humu, zingine wala hazina interest ya taifa kwa sasa then ili mradi watu wakae wachambuane tuuuu. Hivi sasa tunajadili kama ule ulikuwa mdahao au la? C'mon u people