johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
PhD holder yoyote midahalo ni sehemu ya maisha kama ilivyokuwa kwa Prof. Lipumba huko Duniani.
Ningekuwa Dr. Mwigulu PhD nisingeipoteza fursa hii adhimu ya Mdahalo kati ya Waziri wa Fedha wa CCM na Mbunge wa CCM ambaye ni Waziri wa zamani.
Sisi Wakristo mdahalo wa Yesu Kristo na Shetani pale Mlimani uliimarisha zaidi Imani yetu kwa Mungu wa Mbinguni na Mwana wake Masihi wa Mungu Yesu Kristo.
Nawatakia Baraka tele😀
Ningekuwa Dr. Mwigulu PhD nisingeipoteza fursa hii adhimu ya Mdahalo kati ya Waziri wa Fedha wa CCM na Mbunge wa CCM ambaye ni Waziri wa zamani.
Sisi Wakristo mdahalo wa Yesu Kristo na Shetani pale Mlimani uliimarisha zaidi Imani yetu kwa Mungu wa Mbinguni na Mwana wake Masihi wa Mungu Yesu Kristo.
Nawatakia Baraka tele😀