Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
Miaka ile 5 ya kwanza ya elimu ya msingi iwe ni kwa ajili ya:
Kusoma (Kiswahili na Kiingereza)
Kuandika na Uelewa (comprehension)
Kuhesabu (arithmetic)
Michezo na Sanaa
(Mwaka wa kwanza uwe katika kujifunza kusoma na kuandika - exclusively).
Middle School miaka 2 iwe kwa ajili ya:
Kuzama katika hesabu na lugha
Sayansi, Siasa (Civics) na Sanaa
Character development (kupitia michezo na extra curricular activities)
secondary (secondary education) miaka 2
Miaka 2 ya pure liberal arts (introductory courses)
High School - kuzama katika liberal education na semi specialization. (unafuta combination zilivyo sasa). Mwaka wa mwisho mtoto atakiwe kujua anataka kusomea nini Chuo Kikuu au onother tertiary institution.
Au mfumo gani mzuri zaidi wa kujaribu kudeal na hili tatizo la wanafunzi kufeli sana kuanzia shule ya msingi, sekondari na vyuo?
Kusoma (Kiswahili na Kiingereza)
Kuandika na Uelewa (comprehension)
Kuhesabu (arithmetic)
Michezo na Sanaa
(Mwaka wa kwanza uwe katika kujifunza kusoma na kuandika - exclusively).
Middle School miaka 2 iwe kwa ajili ya:
Kuzama katika hesabu na lugha
Sayansi, Siasa (Civics) na Sanaa
Character development (kupitia michezo na extra curricular activities)
secondary (secondary education) miaka 2
Miaka 2 ya pure liberal arts (introductory courses)
High School - kuzama katika liberal education na semi specialization. (unafuta combination zilivyo sasa). Mwaka wa mwisho mtoto atakiwe kujua anataka kusomea nini Chuo Kikuu au onother tertiary institution.
Au mfumo gani mzuri zaidi wa kujaribu kudeal na hili tatizo la wanafunzi kufeli sana kuanzia shule ya msingi, sekondari na vyuo?