GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Waliosoma Law school na kufaulu watanielewa vizuri kwenye uzi huu.
Tusirudie makosa ya kulazimisha watoto wote wa shule ya msingi hata wasiojua kusoma na kuandika wafaulu kilazima na kujiunga na sekondari.
Matokeo yake tumeshaanza kuyaona, Hawa watoto hawawezi kushindana na watoto wa wakubwa waliosoma shule bora, Watoto wa kufaulu bila kujua kusoma na kuandika wataishia kutawaliwa daima.
Kuna kazi kila mtu anaweza kufanya, Lakini kuna kazi zinahitaji specialization.
Taasisi zinazosimamia udaktari na sheria hazipaswi kwenda na mfumo wa kuwaridhisha wanasiasa eti kuongeza idadi ya madaktari na mawakili bila kuangalia uwezo na ubora wa taaluma.
Shule ya sheria Tanzania haina tatizo, Tatizo lililo mbele ni mfumo wa elimu ya sheria vyuo vikuu.
1. Wanafunzi vyuo vikuu Tanzania wanasoma nadharia tu na kukariri mambo, Wanapojiunga law school kuna mambo wanahitajika kuyaweka kwenye mfumo kazi, yaani Practical.
Batch ya pili Law School mwaka 2009± pale Law school nilishuhudia kwa baadhi ya wanafunzi waliofeli na kutaka kuanza kuwaaminisha watu kuwa law school ni ngumu.
Mfano: Vyuoni wanafunzi wanajifunza mambo ya charge sheet kwa kuelezea what is charge sheet? Hii ni hati ya mashtaka na swali hili liliulizwa kwenye ile batch ya 2009±
Law school, Mwanafunzi anaambiwa aandae charge sheet /Hati ya mashtaka kitu ambacho hajawahi kukifanya, Tena anaambiwa with practical example and evidence, ule mwaka wengi waliofeli walishindwa kuaandaa charge sheet lakini wanajua kudefine charge sheet.
2. Exposure ya wanafunzi na vitu vinavyoendelea mahakamani ni mdogo sana, Mambo ya Mahakama yamefanywa siri Tanzania. Kesi hazioneshwi kwenye Television hasa zile zinazovuta umma, Wanafunzi wengi inakuwa ngumu kuelewa uhalisia wa mambo yanavyokwenda kwa mfumo wa kazi, yaani Practical.
Suluhisho
Mfumo wa elimu ni mbovu na ufumuliwe hasa elimu ya nadharia inayowekewa mkazo kwa asilimia 100% vyuo vikuu inabidi igawanywe kwa mfumo wa prolata base yaani 50% iwe practical na watu waende maeneo ambayo kuna kesi nyingi mfano Mahakama ya Kisutu.
Mwanafunzi akitoka chuo practical vizuri ni ngumu kushindwa law school.
2. Muda ni mfupi sana pale law school na sio law school hata mfumo wetu kwenye Board za uhasibu ni vichekesho Sana. Baadhi ya nchi Mwanafunzi anaruhusiwa kusoma chuo kikuu huku akisoma kwenye hizi regulatory schools kama lawa schools na Bodi za uhasibu.
Mwanafunzi anapoanza chuo kikuu anajisajili pia law schools kwenye baadhi ya nchi ili kupata muda mrefu wa kuyafahamu mambo.
Hapa Tanzania Law school imekuwa kwa watu mpaka wanapohitimu sheria, Mfumo huu haufai kwani unampa mwanafunzi muda kidogo wa kujifunza.
Tusirudie makosa ya kulazimisha watoto wote wa shule ya msingi hata wasiojua kusoma na kuandika wafaulu kilazima na kujiunga na sekondari.
Matokeo yake tumeshaanza kuyaona, Hawa watoto hawawezi kushindana na watoto wa wakubwa waliosoma shule bora, Watoto wa kufaulu bila kujua kusoma na kuandika wataishia kutawaliwa daima.
Kuna kazi kila mtu anaweza kufanya, Lakini kuna kazi zinahitaji specialization.
Taasisi zinazosimamia udaktari na sheria hazipaswi kwenda na mfumo wa kuwaridhisha wanasiasa eti kuongeza idadi ya madaktari na mawakili bila kuangalia uwezo na ubora wa taaluma.
Shule ya sheria Tanzania haina tatizo, Tatizo lililo mbele ni mfumo wa elimu ya sheria vyuo vikuu.
1. Wanafunzi vyuo vikuu Tanzania wanasoma nadharia tu na kukariri mambo, Wanapojiunga law school kuna mambo wanahitajika kuyaweka kwenye mfumo kazi, yaani Practical.
Batch ya pili Law School mwaka 2009± pale Law school nilishuhudia kwa baadhi ya wanafunzi waliofeli na kutaka kuanza kuwaaminisha watu kuwa law school ni ngumu.
Mfano: Vyuoni wanafunzi wanajifunza mambo ya charge sheet kwa kuelezea what is charge sheet? Hii ni hati ya mashtaka na swali hili liliulizwa kwenye ile batch ya 2009±
Law school, Mwanafunzi anaambiwa aandae charge sheet /Hati ya mashtaka kitu ambacho hajawahi kukifanya, Tena anaambiwa with practical example and evidence, ule mwaka wengi waliofeli walishindwa kuaandaa charge sheet lakini wanajua kudefine charge sheet.
2. Exposure ya wanafunzi na vitu vinavyoendelea mahakamani ni mdogo sana, Mambo ya Mahakama yamefanywa siri Tanzania. Kesi hazioneshwi kwenye Television hasa zile zinazovuta umma, Wanafunzi wengi inakuwa ngumu kuelewa uhalisia wa mambo yanavyokwenda kwa mfumo wa kazi, yaani Practical.
Suluhisho
Mfumo wa elimu ni mbovu na ufumuliwe hasa elimu ya nadharia inayowekewa mkazo kwa asilimia 100% vyuo vikuu inabidi igawanywe kwa mfumo wa prolata base yaani 50% iwe practical na watu waende maeneo ambayo kuna kesi nyingi mfano Mahakama ya Kisutu.
Mwanafunzi akitoka chuo practical vizuri ni ngumu kushindwa law school.
2. Muda ni mfupi sana pale law school na sio law school hata mfumo wetu kwenye Board za uhasibu ni vichekesho Sana. Baadhi ya nchi Mwanafunzi anaruhusiwa kusoma chuo kikuu huku akisoma kwenye hizi regulatory schools kama lawa schools na Bodi za uhasibu.
Mwanafunzi anapoanza chuo kikuu anajisajili pia law schools kwenye baadhi ya nchi ili kupata muda mrefu wa kuyafahamu mambo.
Hapa Tanzania Law school imekuwa kwa watu mpaka wanapohitimu sheria, Mfumo huu haufai kwani unampa mwanafunzi muda kidogo wa kujifunza.