LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
- Thread starter
- #101
Simple darling, kwanza hebu nitupie hicho kibabu maana katika zunguka zunguka yangu sijawahi ona ya kibabu lol nipe mimi fasta nikamilishe research yangu.
Kuhusu wewe nilivyoanza kazi bosi alianza dalili za kunitongoza halafu nae ana zaidi ya 50yrs nilichofanya ni hivi nikamwambia mungu naomba umfunge huyu mzee asinitamani anione kama mtoto wake wa kuzaa yaani mawazo yake yote juu yangu yafutike kwa sababu wewe ndio umenipa hii kazi so sihitaji usumbufu mfunge kabisa asithubutu kunitongoza katika jina la yesu naomba na kushukuru amen. Alikua na tabia ya kuninunulia lunch aliacha na akaanza kuniheshimu kama mtoto wake.
Angalizo:
uwe na imani kwamba itakuwa na wewe pia uwe humtamani yeye wala pesa zake halafu utakuja kunipa majibu
Thanks my dear Maty, be blessed and uplifted. Mwenzangu Maty hata hakatamanishi, labda cha kutamani hapo ni mapesa tu. Kuna wakati namwangalia halafu na Imagine vitu fulani fulani, najikuta nacheka tu kimoyomoyo, au napata kichefuchefu gafla.