Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,744
Huyu demu ni mzuri na anaonekana very decent kwa nje. Msukuma wa Shinyanga. Mimi kiukweli niitegemea ngekaa kwake kwa utulivu but baadaye nikaja ona ana ujanja wa kishamba.

Mimi nlikutana naye JF miaka kadhaa ya nyuma. Tukawa friends, tukapeana namba za simu. One time akaniambia nimfuate Nzega by then alikuwa anaishi huko. Basi sisi wanaume tulivyo dhaifu kwa new papuchi. Nikatoka zangu Dar mpaka Nzega. Nikamjulisha kuwa sasa Nimefika Nzega Hotel X.Namsubiri aje angaa tupate Dinner na kufahamiana

Akaniambia kwa muda ule asingeweza kufika ni usiku. Nikapiga moyo konde nikamua kutokana na safari basi angaa kwa ule uchovu ninywe supu ya kuku kienyeji nijiandae kwa game kesho. Maana nlipania sana mtoto alikuwa na mvuto kwa picha zake. Tako analo, hips anazo. Sura anayo.

Kwani kesho yake alipokea simu? Wala. Nikatuma sms hakuna majibu. Ikapita siku, keshokutwa yake the same. Nikakata ticket nikarudi Dar nikiwa nimeumia sana. Nliwaza si bora ngelipia nauli kwenda msalimia bibi yangu kule Nanjilinji angenibariki?

Moyo uliuma sana kiukweli, niliwaza na kuwazua. Nimefuata papuchi Nzega Tabora narudi mkono mkavu. Nikasema hewala. Haina shida. Hewala yashinda utumwa siku zote.

Ikapita miezi. Nikamsalimia tena. Sikutaka kuvunjika moyo. Akawa anajibu nikamueleza alichonifanyia haikuwa sawa. Akasema kwanza haamini kama nilienda itakuwa nilikuwa tu namtania. So akaona hataki usumbufu ndo akanyamaza. Nikasema haina shida.

Ikapita miaka. Nikapata safari ya Shinyanga. But before nikamwambia nataka kuja kukusalimia. By that time alikuwa amehamia Shinyanga. Akanikaribisha. Nikasisitiza sana kuwa naenda for her. Akasema niende. Actually nilikuwa naenda kikazi. Ila nikakuungia juu kwa juu kuwa safari ile mguu ni wake.


NAAMUA KUCHEZA POOL (UMRI HUU KWELI NAJICHUKULIA SHERIA MKONONI?)

Basi nikafika Shinyanga mida ya saa 5 asubuhi. Nikamjulisha nipo Shy Town. Akaniambia yupo kazini atakuwa free saa 10 jioni. Nikamjibu tawile. Basi nikafanya issue zangu nikapiga tena supu ya kuku kienyeji na chapati zangu nikapumzika nasubiria mtoto aje.

Jioni nikamuuliza akaniambia tuonane sehemu moja kwa pale shinyanga inabamba ipo pembeZON mwa barabara kushoto kama waenda Mwanza. Nikatia team siku hiyo kimvua kinanyesha nyesha.nikampigia simu akaniambia anapanda bajaji. Baada ya muda kupiga simu akaniambia anakaribia.

Ten minutes later napiga. Hapokei simu. Nilipiga sana simu haipokelewi. Nikatuma msg. Kimya. Mwishowe ikawa haipatikani. Nliumia sana. Siku ile. Nikicheck namna ambavyo nilijiandaa kisaikolojia. Nikarudi Hotel nina mchanganyiko wa hasira, chuki na upwiru.

Nikacheza pool (kujichukulia sheria mkononi) kuondoa hasira maana nlighadhibika sana. Nikalala. Kesho yaje asubuhi nikamcheck around saa 4 kwa upole tu. Akajibu aliogopa kuja sababu hanifahamu. So alilala tu home. Nikamwambia haina shida je naweza muaga angalau leo. Akajibu mchana akanielekeza sehemu ya kula.

Kweli for the first time akaja. Mtoto mzuri wa kisukuma. Ana tako ana hips ana sira decent. Natural color. Akaomba msamaha.

Kwa jinsi alivyo yaani unamsamehe tu hata kama ametoka kukuchoma kisu cha moyoni muda huo huo akisema samahani unamsamehe unachomoa kisu unamrudishia kisu chake baada ya kukiosha na kumwomba msamaha wewe kwa kumsababishia aone damu yako.

Tukayajenga nikamwambia naenda Kahama. This time nlienda na private car. Then nikitoka Kahama after two days. Nikafika Nzega nikatafuta Hotel nikamjulisha nimefika. Akanijibu jioni anakuja. Nikapata msosi na beer mbili tatu nikamsubiri.

Saa 12 jioni ananiambia anajiandaa saa moja ananiambia hana nauli nimtumie. Nikacheck kwenye simu nina 17,000 nikamwambia nitamtumia tsh 15,000 nauli Shinyanga Nzega.akassma haina shida. Nikamtumia. Akapokea akashukuru.


NAISHIA KUCHORA TU KWA MARA NYINGINE TENA

Baada kama dk 20 namuuliza upo wapi. Ananiambia HAJI. ameona nimemdharau sana. Nauli gani hiyo nimetuma? Nikamwambia ndo nliyo nayo kwa muda huu but akija tutarekebisha tu hamna shida. Akasema haji NA TENA NIMKOME KABISA.YEYE SI WA NAMNA HIYO.

Daah.... Nikaanza kutetemeka kwa hasira. Pesa yangu kapokea.tena alinipa namba ya wakala so ameshatoa siwez irudisha. Unajua 15,000 ukitoa kwa moyo safi si tatizo. Ukipigwa inaumiza hasa kwa sis tunaojiona watoto wa mjini. Halafu ananipiga demu wa Kisukuma wa Shinyanga? Hajawahi fika hata Dar.

Nikatulia tu. Usiku ule sikulala. Nawaza huyu dada ananionaje lakini? Ila. Sura yake ni very decent. Haendani kabisa na akina Fatma Mcharuko.

Kesho yake. Nikaamua kuondoka kurudi Dar. Nliendesha gari kwa hasira sana. After two days akanitafuta. Nikamwambia tu masikitiko yangu. Jinsi ambavyo nlikuwa nimejipanga tuangalie maisha mimi na yeye. Miradi ambayo nlitaka mfungulia maana hakuwa ameajiriwa na ana mtoto. Mumewe alifariki kitambo. So ana shughuli zake tu anafanya.

Nikampanga sana. Akaanza kuomba msamaha. Na akasema next time hatorudia tena. Ni woga tu ulimfanya abehave hivyo. Nikamwambia asijali. Hakujua hasira na chuki niliyokuwa nayo moyoni. Niliendelea kutabasamu na kuwa mpole. Nawaambia watu waogope sana mtu ambaye hata ukimkosea anatabasamu na kusema hamna shida. Ni watu ambao hupanga kisasi kwa utulivu sana.


HATIMAYE NAONA NDANI KULIVYO
Hazikupita wiki mbili nikawa tena nina safari ya Shinyanga. Nikaenda this time nikamwambia aniangalizie Hotel nzuri anayopenda yeye. Akanitafutia nikaenda. Nikamjulisha nimefika. Kweli jioni akaja. Tukalala wote. Demu anajua kutiana. Anashika mike vizuri na kuimba vizuri sana. Na anajituma kinyama. Masaa 3 tunakamuana tu tukimaliza tunapata break fupi kwa ajili ya matangazo then tunarudi mchezoni. Mpaka kulala hoi.

Kesho yake tena. 3 days nakamua tu. Akaamua hadi kunipeleka kwake. Nikapiga supu ya kuku kienyeji na chapati. Nikaaga kurudi Dar. Nlimwachia 150,000 ya matumizi.

MTAJI WA TSH 5,000,000/

Nimerudi Dar after two days anaomba nimpatie mtaji wa 5,000,000, nikamwambia asubiri. Muda huo nipo Ethiopia. Nikarudi kumbe amekasirika. FEW days ago nimekuja Mwanza. Nikamwambia ndo nashuka airport aje kunisalimia Mwanza.

Aliniponda akaniambia sijamtumia mtaji so hawezi kuja. Nikamwambia sawa haina shida. Nikawaza huyu dada anataka pesa kwangu. Nikimshawishi kwa pesa ndo analoana.... Nikanyamaza. Kesho yake asubuhi akanipigia simu. Nimtumie nauli aje Mwanza. Nikauliza tsh ngapi. Akajibu 40,000 aache nyingine home. Nikamwambia haidhuru.

Nikamtumia. Akasema amepokea nibarikiwe. Anakuja yupo stand. After 4 hours nampigia simu hapokei, natuma msg hapokei. Jioni hapokei simu hajibu msg.

Anakuja jibu msg whatsapp saa 5 usiku kuwa haji na hana mpango wa kuja. Alitaka tu pesa kwa mambo yake. Daaah... Yaani Msukuma wa Shinyanga kaniingiza mjini. Na akaenda mbali zaidi akasema sina lolote kila mara namwahidi tu pesa simpi za kutosha. Nikawa tu mpole na mwenye hasira ndani. Akaniponda huku akicheka kwa dharau sana.

Nikajishusha tu sikumjibu vibaya. Siku hiyo nlitoka fanya muamala wa tsh 3,500,000 pale NMB Pamba Road. Nikamwambia nlimwita aje ili tujadiliane ile issue ya mtaji. Sikuwa na 5,000,000 kwa siku hiyo ila nimeshatoa tsh 3,500,000 nimpe hizo kwanza aanzie biz kisha nyingine mwisho wa mwezi. Akalainika. Nilimtumia na ushahidi akaona. Nikamwamba aje tuzungumze biz. Aache utoto sisi watu wazima. Pesa ni makaratasi tu hasara ni roho.

MARIDHIANO
Akaomba msamaha na kudai zilikuwa hasira tu. Tukafikia maridhiano. Nikamwambia mimi nlishamsamehe kabla hata hajanikosea. Akaniambia kesho atakuja. Nikamwambia haina shida yeye tu.

Kesho yake sikumtafuta ili yeye aone kuwa nami nataka ponyesha pesa zangu. Maana nlimwambia si shida kama ameamua kutokuja pesa nazihamishia kwenye matumizi mengine atakuwa amenisaidia na sitokuwa guilty coz i tried.

Jioni saa 12 ananiambia nimwelekeze Hotel niliyofikia. Nikamweleza akaja ufukweni. This time sikuwa na hamu naye kiukweli. Nlimwona ni mwanamke wa Kiswahili sana. Yeye akaja anafuraha. Anafurahia ile Hotel Mazingira n.k

Tukaagiza msosi na vinywaji. Mi sikutaka kunywa beer siku hiyo maana sikuwa tena namwamini yule dada. Nikaagiza Grand Malt naye akaagiza Grand Malt na mrija. Nikamwambia hatutumii Grand Malt na mrija. Aagize glass kama hataki nywea kwenye kopo. Nliona tu it is weird.

Usiku nikamla kimoja tu after kama dk 40. Yaani hata hamu ya kumaliza sikuwa nayo. Alifanya kila alichofanya ikawa shida. Simalizi. Nikamwomba tigo. Akalalamika sana. Nikamwambia ana wasiwasi gani kila jambo lina mwanzo. Hatimaye akakubali tukapaka Vasseline. Kwa shida sana nikafanya huo ujinga kwake. Alichanika kidogo. Binafsi nliamua tu kumdhalilisha baada ya kuwa nakumbuka matendo na maneno yake ya shombo.


Nikachomoa funguo akiwa ameenda kuoga nikaficha tukalala. 3 days. Naongea naye natabasamu ila moyoni ameshanitoka. Nilikuwa namla kwa tamaa tu na sometime ili nimalize navuta picha ya demu mwingine.

LEO ASUBUHI

Nimempa tsh 30,000 akatume nyumbani kwake kisha akiwa hayupo nikapanga my stuff. Nika check out. Nimewaambia reception atarudi yule dada pale room. Mi kuna sehemu naenda nitarudi kumkuta kesho nimpitie. Nikaita bolt huyo kuelekea airport. Nikazima na line ambayo natumia kwake. Nimekamilisha my mission. To hurt her just the way she did to me several times. Na maneno yake ya shombo.

Nimekuja switch on hiyo line. Hakuna maneno. Ambayo hajaacha kuongea. Kalalamika sana. Amepiga simu nimepokea analia anasema hakutegemea nitamfanyia hivi. Nimwonaje, au sababu ana shida n.k.

Cha ajabu she plays so innocent. Anasahau alishaniita mimi fala. Sina cha kumfanya na nisifikiri yeye bwege kama mademu wengine wa mitaani. Amesahau maneno yote hayo. Analia kuwa amepoteza 3 days kunitumikia then nimemwacha sijampa mtaji. Nimemwambia mtaji wake uwe papuchi yake tu.
 
Kwa watanzania kama nyinyi hili ni Jambo la kawaida
images - 2024-03-10T190459.157.jpeg
 
Back
Top Bottom