Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, Roseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, sijaolewa bana, lakini mpango wa kumpa kibabu tunda hakuna kabisa,
Ila kanamaudhi sana, kasumbufuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Haya hayaaaaaaaaaa, du nimecheka hadi watu wakashtuka humu.
Mi nakuletea bastola hapo ukafumulie baioloji yake bana....Vijana wamejaa kibao wana kiu zao we ukawape wazee?