nywelenyingi
Member
- Apr 23, 2023
- 17
- 96
Habari za majukumu ndugu zangu, nipo hapa kuomba ushauri wa kimahusiano natumaini ntapata majibu ya hiki kinachonitatiza.
IPO HIVI
Miaka miwili nyuma niliwahi kuzoeana na mdada mmoja, kiumri namzidi miaka miwili, nilifahamiana nae kipindi nimeenda kijijin kuwasalimia wazazi na kupata baraka zao.
Alikuwa ni jirani yetu (nyumba ya 3 kutoka kwetu) na pia mara nyingi tulikuwa tunaonana baada ya salamu kila mtu nachukua hamsin zake.
Sasa katika kuanza kuzoeana nilimuomba namba, hakusita alinipatia maongezi yahakamia kwenye simu, cha ajabu huyu binti alinizoea kupitiliza ikawa yeye ndo ananitafuta mara kwa mara hatimaye akaamua kunifungukia juu ya hisia zake kwangu na kuniambia ametokea kunipenda,
Niliona nimkubalie tu lakini hakuwa moyoni mwangu kabsa,sikuwahi kumwelewa nilimchukulia kama mdogo wangu (niliona nifanye hivyo asinichukie wala kujisikia vibaya)
Ndani ya hii miaka miwili huyu binti sijawahi kumhisi kwa chochote kibaya,pia hata nikiwa na shida ni mwepesi sana wa kunisaidia (hasa kifedha).
Binti huyu ana kila sifa ya kuitwa mke (namaanisha vigezo vyote ninavyovihitaj kutoka kwa mwanamke anavyo vyote ,changamoto tu ni kwamba sina hisia naye hata kidogo.
Wiki 2 zilizopita aliomba kuja kunitembelea,na alikuja kwa gharama zake na wala sikushtuka nilipomtuka bikra (maana amejituliza mno, mno, mno )
Kuhusu kipato chake.
Ameajiriwa na shangazi yake stationary, anamlipa 150k kwa mwez
Kuna muda namjaribu kwa kumwambia mshahara wake awe anautuma kwangu,hana noma anatuma tu badae namuonea huruma namrudishia.
Ila na mm sometimes huwa namtumia pesa za matumiz (kwa aibu baada ya kula vyake vingi)
kwa upande wa mawasiliano sijawahi mtafuta ,siku zote anaanza yy wala hajawah kuhoji hiki kitu,ndani ya mwezi naweza mtafuta mara 1 yy mara hata 1000 (anatekeleza kwa moyo wake wote)
Ndugu zangu moyo wangu huna chembe yyte ya hisia kwake,naweza nikaongea lolote,chochote ni nikaona poa tu ,ila yy ni mnyenyekevu
JE nimuoe hivyo hivyo ntampenda hapo mbeleni au nimpotezee tu nisije nikamtesa mtoto wa watu
Ushauri tafadhali.
IPO HIVI
Miaka miwili nyuma niliwahi kuzoeana na mdada mmoja, kiumri namzidi miaka miwili, nilifahamiana nae kipindi nimeenda kijijin kuwasalimia wazazi na kupata baraka zao.
Alikuwa ni jirani yetu (nyumba ya 3 kutoka kwetu) na pia mara nyingi tulikuwa tunaonana baada ya salamu kila mtu nachukua hamsin zake.
Sasa katika kuanza kuzoeana nilimuomba namba, hakusita alinipatia maongezi yahakamia kwenye simu, cha ajabu huyu binti alinizoea kupitiliza ikawa yeye ndo ananitafuta mara kwa mara hatimaye akaamua kunifungukia juu ya hisia zake kwangu na kuniambia ametokea kunipenda,
Niliona nimkubalie tu lakini hakuwa moyoni mwangu kabsa,sikuwahi kumwelewa nilimchukulia kama mdogo wangu (niliona nifanye hivyo asinichukie wala kujisikia vibaya)
Ndani ya hii miaka miwili huyu binti sijawahi kumhisi kwa chochote kibaya,pia hata nikiwa na shida ni mwepesi sana wa kunisaidia (hasa kifedha).
Binti huyu ana kila sifa ya kuitwa mke (namaanisha vigezo vyote ninavyovihitaj kutoka kwa mwanamke anavyo vyote ,changamoto tu ni kwamba sina hisia naye hata kidogo.
Wiki 2 zilizopita aliomba kuja kunitembelea,na alikuja kwa gharama zake na wala sikushtuka nilipomtuka bikra (maana amejituliza mno, mno, mno )
Kuhusu kipato chake.
Ameajiriwa na shangazi yake stationary, anamlipa 150k kwa mwez
Kuna muda namjaribu kwa kumwambia mshahara wake awe anautuma kwangu,hana noma anatuma tu badae namuonea huruma namrudishia.
Ila na mm sometimes huwa namtumia pesa za matumiz (kwa aibu baada ya kula vyake vingi)
kwa upande wa mawasiliano sijawahi mtafuta ,siku zote anaanza yy wala hajawah kuhoji hiki kitu,ndani ya mwezi naweza mtafuta mara 1 yy mara hata 1000 (anatekeleza kwa moyo wake wote)
Ndugu zangu moyo wangu huna chembe yyte ya hisia kwake,naweza nikaongea lolote,chochote ni nikaona poa tu ,ila yy ni mnyenyekevu
JE nimuoe hivyo hivyo ntampenda hapo mbeleni au nimpotezee tu nisije nikamtesa mtoto wa watu
Ushauri tafadhali.