Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
Jamani na mimi mnikumbuke kwenye maombi yenu. This is not a Joke guyz, usiombe ikakupata nibora uskie kwa mwingine utaomba asubuhi isifike ili tu usiende ofsn, tena ukute kama ni boss ambae hana boss wake yeye ndo head of the mission yani huna wa kumshtakia kwa hapo ofsn, then awe na roho mbaya na visasi, na haelewi utajuta kuzaliwa. Im in the same boat jamani na mimi mnikumbuke. Mimi bosi wangu anataka awe na mimi jmos kwa dinner jpili kwa lunch nimeshadanganya kila uongo dunia hii, mara weekend kuna wageni hm mara hivi, nilipojaribu kumtolea uvivu alinipiga warning kwanza kwakuto mtii akaniambia asinione job week then nilivorudi akasema umejifikiria nikamwambi i came here to work. Then akaagiza asione gari kwa parking ya ofice ujue pa kupark, poa akaninunia miezi mitatu. Guyz huyo nimzee kishenzi.