acha uongo wewe jamaa mzima jana alikuwa facebook..
.ina maana huwa huangalii habari kwenye tv?
Uchaguzi utafanyika hivi karibuni manake jimbo litakuwa wazi
news naweza angalia kwenye net?Now four: source ITV NEWS saa mbili usiku huu! poleni sana wafiwa
Amakweli watu wengine wanajua kulaumu bila sababu. Habari zinasema "Alikuwa akitokea Arusha kumtoa baba yake hospitalini" Sasa sijui kama hiyo Ipad anagekuwa nayo ingemezesha kumtoa Babake hospitali bila yeye kwenda?.
Labda kwa masahihisho kidogo ni kuwa Mh Selasini alikuwa anatokea Arusha kwenye Mazishi ya shemeji yake ambaye ni Padri Floridi Mahoo. Kwenye gari la Mbunge walikuwamo watu sita.
1.Mama mzazi wa Mh Mbunge - Amefariki
2. Mama mzazi wa Padre walioenda kumzika - amefariki
3.Shangazi wa mama wa padri - amefariki
4.Shemeji wa marehemu Padri-amefariki
5.Mke wa Mh Mbunge -ameumia yupo KCMC
6.Mh Mbunge - ameumia.
Wana JF tuwaombee wanafamilia hizi waweze kuipokea misiba hii.
Yeye amtegemee Mungu awezaye kutoa roho na kuadhibu, huyo ndiyo mwokozi wake.
WanaJ,
Tumekuwa tukihabarishana habari za siasa na jamii pia. Lakini kwa CDM ni msiba mkubwa sana kwani Mhe. Selasini anaweza akakosa vikao vya bunge lijalo kutokana na majeraha aliyonayo na pia msiba wa watu 4 ambao ni ndugu wa damu. Someni nukuu hii muweze kuona ni kwa jinsi gani jamaa yetu alivyo na maumivu ya viungo na mawazo pia. Tumwombee Mungu ampe nguvu mapema awahi bunge la bajeti.
"Hivi ndivyo ilivyokuwa jana kwenye mazishi ya mpendwa wetu Fr. Florid Mahoo. Na kama vile haitoshi, baada ya mazishi safari ya watu kurejea makwao ilianza na ndipo gari la Mh. Joseph Selasini Mbunge wa Rombo lilipopata ajali maeneo ya Bomang'ombe na kusababisha vifo vya wamama wane: mama yake Fr. Mahoo, mama yake Mh.Selasini (watoi/watoo), mke wa kakae Fr. Mahoo na shangazie. Mh.Selasini na mkewe wamelazwa KCMC akiwa ameteguka bega na mkewe dislocation ya shingo. Mh. Selasini amemwoa dadake Fr.Mahoo. Ni msiba mzito mno ukizingatia kuwa babake Fr. Mahoo alifariki mwezi wa tatu mwaka huu".