Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nimekuwa ni Mfuatiliaji Mzuri sana Bunge linaloendelea. Mheshimiwa Job Ndugai amekuwa analiendesha Bunge kama kamati kuu ya Serikali, Hawapendi Wapinzani, anawachukia wapinzania, na naamini kama angeweza kuchukua Hatua ya Kuwafukuza Moja kwa Moja angeweza. Makinda ni Mbovu but Ndugai is Worse.
Wananchi wanaona namna Ndugai anavyoendesha Vikao vya Bunge kama Wakala wa Serikali na Ndio maana Mawaziri wanapoomba Muongozo wao hutoa hotuba lakini ikiwa hivyo wa Wapinzani jamaa huwa anakuwa Mkali kweli. Amefanya hivyo kwa Wabunge Kadhaa kama Machali, Lema, Mdee, Lisu na wengine.
Ndugu Ndugai nikueleze ukweli Wananchi wanachukizwa na Namna Unavyoendesha Bunge unafanya wananchi waichukie CCM na Usipokuwa Makini basi wewe Utakuwa ni LANGO LA ANGUKO LA CCM. I hate you and you make me hate CCM more than Ever.
Wananchi wanaona namna Ndugai anavyoendesha Vikao vya Bunge kama Wakala wa Serikali na Ndio maana Mawaziri wanapoomba Muongozo wao hutoa hotuba lakini ikiwa hivyo wa Wapinzani jamaa huwa anakuwa Mkali kweli. Amefanya hivyo kwa Wabunge Kadhaa kama Machali, Lema, Mdee, Lisu na wengine.
Ndugu Ndugai nikueleze ukweli Wananchi wanachukizwa na Namna Unavyoendesha Bunge unafanya wananchi waichukie CCM na Usipokuwa Makini basi wewe Utakuwa ni LANGO LA ANGUKO LA CCM. I hate you and you make me hate CCM more than Ever.