Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Simbachawene naye ananena. Anawajibu Abwao na Mchungaji wa Karatu. Anasema polisi waendelee kufanya kazi yao. Kazi ya polisi ni kulinda silaha na kujilinda yeye ukisogea huku ana silaha anakuwasha!! Wananchi msidanganyike kwenda kufanya maandamano mkavunja sheria mkauawa. Kwa hiyo tuheshimu sheria na mamlaka. Dawa ni kuheshimu sheria na mamlaka