Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Tumwagie hapa jamvini
Hii habari ni ya ukweli, angalieni kwenye twitter page ya Zitto.
Hii habari ni ya ukweli, angalieni kwenye twitter page ya Zitto.
Confirmed. Waliojiuzulu ni Mkullo, Mponda,Nundu na Chami.
wameondolewa hawa...bado kangeleja sijui kanan'gan;gania nini aise
Ngeleja yule hatokuja kujiuzulu hadi wazirimkuu naye awajibishwe..yule ni mbishi kama busha ..mtu gani yule hata hafai kwenye jamii utafikiri kazaliwa ili awe waziri au utafikiri akijiuzulu atakufa hapo hapo
Hapana aisee chalii yangu! Blaki Womani ni Msukuma wakati Black Bat ni Mmwela!
NAOMBA unijibu tafadhari..!
Kwahyo Chami Akiachia na NYARANDU si safari imemkuta...!?
Kama ndivyo ntakunywa soda kwa mara nyingine tangu X-mass..
Nahisi NYARANDU ni Tatizo kubwa kuliko huxu Chami
kama iligarimu uhai wa watu na na waziri Wa afya hakutoka hadi sasa.Kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa kuwa leo Mawaziri wanne wa CCM wamejiuzulu kwenye kikao cha kamati ya uongozi ya CCM kilichofanyika na hata katibu mkuu kiongozi alishiriki na sasa ndio wanaenda kuwatangazia wabunge wa CCM kwenye kikao cha ndani.
CONFRIMED!!!!!!! BY BLACK BAT......kutoka DODOMA.
hutaki jinyonge