kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,750
- 594
Picha zimeonyesha vizuri kazi zake - si kukata tepe tu, bali pia kupanda miti ya kumbukumbu, kuweka mawe ya msingi/kuzindua miradi. Kumbe hata mimi naweza tu kuwa Makamu wa Rais!
Pia ni reserve President. Mfano JOYCE BANDA wa Malawi